Melchizedek na utata unaomzunguka

Mkuu maelezo yameshiba hongera Sana
 
Haya ndio majibu yaliyo shiba
 
Yesu sio Mungu ila ni nabii aliyetumwa kama walivyo manabii walio pita
 
Kwanini bible aija nyooka Kimaandiko mpaka kila mtu anakuja na lake
 
Kwani Pengo nani? Yeye akiijua quran ndio wote tujue!! Nini nakomaa na Neno la Mungu - Biblia inanitosha sana.
Nimekwambia unakariri biblia kama ulivyokariri quaran ndio maana unapata shida kuelewa biblia.
 
Kwani Pendo nani? Yeye akiijua quran ndio wote tujue!! Nini nakomaa na Neno la Mungu - Biblia inanitosha sana.
Nimekwambia unakariri biblia kama ulivyokariri quaran ndio maana unapata shida kuelewa biblia.
Biblia inakupa fursa ya kujifunza vitu vingine maana yenyewe wala aijaandika kila kitu,acha kujiaminisha kwenye box , utashindwa kuelewa.mambo yalivyo
 
hermēneuō - interpate

Outline of Biblical Usage

to explain in words, expound

to interpret

to translate what has been spoken or written in a foreign tongue into the vernacular
Mkuu, acha ku complicate mambo, imesema hivi, "tafsiri ya hilo jina" hapo complications za malugha lugha sijui ya kigiriki na kingereza yanatoka wapi? Mbona ipo wazi sana hiyo, hata haijajificha.
 
OK, nani labda alikua akifanya majukumu ya kisiasa Enzi hizo za kuhani Eli na Samuel katika taifa la Israel? I mean yale majukumu ambayo wafalme walipaswa kuyafanya, mfano kuamuru majeshi kwenda vitani etc, who was that!?
 
OK, nani labda alikua akifanya majukumu ya kisiasa Enzi hizo za kuhani Eli na Samuel katika taifa la Israel? I mean yale majukumu ambayo wafalme walipaswa kuyafanya, mfano kuamuru majeshi kwenda vitani etc, who was that!?
Sauli
 
Mkuu, acha ku complicate mambo, imesema hivi, "tafsiri ya hilo jina" hapo complications za malugha lugha sijui ya kigiriki na kingereza yanatoka wapi? Mbona ipo wazi sana hiyo, hata haijajificha.
Sasa wewe unatembea gizani utayaelewaje mambo ya nuruni? Mbona hata Kuruani yenu ina kamusi? Acha kujionyesha huna hekima
 
OK, nani labda alikua akifanya majukumu ya kisiasa Enzi hizo za kuhani Eli na Samuel katika taifa la Israel? I mean yale majukumu ambayo wafalme walipaswa kuyafanya, mfano kuamuru majeshi kwenda vitani etc, who was that!?
Samweli hakjwa mfalme, umeielewa hiyo? Kwani wakati wa Musa naye alikuwa mfalme? Vipi wakati wa Yoshua? Biblia iko wazi nenda soma ujifunze kuhusu waamuzi na wafalme wa wana wa Israeli.

Kwa kukusaidia tu Samweli ndiye aliyewaapisha wafalme wawili wa kwanza kabisa wa Israeli, Sauli na Daudi. Soma biblia.
 
Mkuu, Musa, Eli na Samuel walifanya kazi zote 2 kama ambavyo tunamuongelea huyu Melkizedeki pia, walifanya kazi za UKUHANI na ufalme pia, yaani walifanya kazi za siasa na za kiroho pia. Kama tu huyu Melkizedeki ambavyo pia tunamsoma kwenye BIblia kwamba was a king and a priest as well. Saul alikuja baada ya wana ISrael kutoridhishwa na kuamua na wao wawe kama mataifa mengine. Musa na Joshua wote walikua wakiamuru majeshi kwenda vitani. Unakumbuka watoto wa Eli walifia vitani, nani aliamuru majeshi ya Waisrael kwenda vitani kama sio kuhani Eli mwenyewe?
 
Samweli hakuwa mfalme, umeelewa hiyo? Narudia tena, soma kuhusu waamuzi na majukumu yao, usome na kuhusu wafalme.

Kuhusu Melkizedeki, kqma kweli una nia ya dhati, jibu maswali niliyouliza huko juu, sio baada ya post tatu au nne mnarudi kule kule. Jibu maswali, yapaoa huko juu. Biblia imetofautiana sana na Quran kwa sababu yenyewe ni ya mambo ya rohoni wakati quran ni ya mwilini. Hivyo usijaribu kulinganisha usomaji wa biblia na quran, huku hakuna aya za kukariri, ni aya za kuelewa tu
 
DU, tunabishana, Sasa habari za Qurani zinatoka wapi hapa?Kuna sehemu hata 1 nimegusia habari za qurani? Well, haya ni masuala ya IMANI, bakia unavyo amini na mimi nibaki ninavyo amini.
 
Hii mada kuna watu wameshaiharibu, wakishindwa kuthibitisha hoja zao basi wanakimbilia kuwaita wale wasiokubaliana nao kimaandiko kuwa ni waislamu

Hajui kuwa pengine humu kuna
(1) Marastafari
(2)Wayahudi
(2) Mashahidi wa Yehova
(3) Unitarian Church of Christ

Hawa wote wana tafsiri tofauti za maandiko ya Biblia na hawakubaliani na mengi ya Tafsiri za kibiblia kwa mujibu wa madhehebu mbali mbali

Kwa hiyo hapa tuangalie hoja tu, mambo sijui wewe ni mtoto wa Kijakazi, au mtoto wa mama kambo yaache!

Hata kama ni mtoto wa mama wa kambo wewe kwa akili zako unadahni mama yako wewe ni mkuu kuliko yule mama wa kambo aliyeongea na malaika jangwani na ambaye Mungu kwa kauli yake alisema Mwanae atambaliki na atakuwa taifa kubwa?
 
Yani mimi katika kitu ambacho siwezi kukielewa ni yesu kuwa mungu ili uamini hiki inabidi ujitoe akili na usiulize chochote nakubaliana na wewe 100 yesu sio mungu.
 
Wewe ndio unaharibu mada. Unaleta hoja zisizoendana na mada kwa lengo la ub8shani kuliko kuelimishana. Haya jibu hoja zangu nilizokupa halafu unazikwepa. Pia sio vema kuikana dini yako, hujui posts zako zinakuumbua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…