Melchizedek na utata unaomzunguka

Biblia haijataja kumuelezea sanaaa ndomaana akaingizwa ktk watu watatu ambao ndani ya biblia hawaonekani kua na wazazi.
Hapa una maanisha ya kuwa wazazi wao hawajulikani au hawakuwa na wazazi kinasaba kabisa ? Na kama ni kinasaba hili liliwezekana vipi ?
 

Hivi kumbe bado kuna watu wanaamini kwenye uwongo wa bibilia zile
 
Je hukuwahi kuuliza kwanini hajulikani ?

Kwetu sisi waislamu kuna elimu ya kuhakiki wa habari na mara nyingi kama mtu hajulikani jambo lake huwa halifnayiwi kazi,hii ni kwa uchache sana.
Niliuliza nikajibiwa kuwa aliandika consistently na maono ya mitume wengine hivyo yupo credible licha ya kwamba hajulikani..... Wengine wakadai Ni mtume paulo aliandika kwa kuangalia style ya uandishi na mtiririko. So wakakichukua

Sio hiko tu bali hta Wimbo ulio bora muandishi wake hatambuliki!!

Aisee

Labda niulize kma ikitokea kwenye Islam mwandishi hamumfahamu ila maneno yapo sawa na mafundishe ya mitume wengine je nayo mtayapuuza?? Au Jina ni muhimu kuliko content.
 
Hivi kumbe bado kuna watu wanaamini kwenye uwongo wa bibilia zile
Mkuu kumradhi, ila juu nliweka rai mada sio ya kidini.... Ukianza kejeli watu nao wataanza matusi then uzi utachafuka.

Humbly nakuomba uanzishe uzi mwingine waje kuchangia huko ila hapa iwe kwa ajili ya mada husika tu.

Shukrani
 
Niliuliza nikajibiwa kuwa aliandika consistently na maono ya mitume wengine hivyo yupo credible licha ya kwamba hajulikani..... Wengine wakadai Ni mtume paulo aliandika kwa kuangalia style ya uandishi na mtiririko. So wakakichukua

Kwahiyo hawakukwambia ni ipi kauli yenye nguvu kati ya hizo ?
Labda niulize kma ikitokea kwenye Islam mwandishi hamumfahamu ila maneno yapo sawa na mafundishe ya mitume wengine je nayo mtayapuuza?? Au Jina ni muhimu kuliko content.
Nayo hatuyachukui mpaka maandiko yawafikiane na mafundisho ya mtume wetu Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.

Jina ni muhimu ili kujua wapi amechukua hicho alichokiandika,kwetu sisi kuwataja rijali ndio dini na lazima tuangalie wapi tunachukua dini yetu.
 


The fact remains that Melchizedek’s nationality, genealogy, and offspring are left undisclosed in the Scriptures, and that with good reason, for he could thus typify Jesus Christ, who by Jehovah’s sworn oath “has become a high priest according to the manner of Melchizedek forever.”— Heb 6:20

Melkizedeki ni aina (mfano / muwakilishi) ya Kristo, anayeonyesha huduma ya Bwana kabla yake.

Inawezekana kwamba Ibrahimu, baada ya vita vyake vya kuchosha, alikutana na kumpa heshima Bwana Yesu mwenyewe.
 
Je huu wimbo ulio bora mnaufanyia kazi ? Kama mnaufanyia kazi kwanini na kwa vigezo gani ?
Unafanyiwa kazi sababu unaongelea Upendo wa kristo kwa kanisa lake.

Wamebase kwenye content tu sawa na ww Zurri naweza amini mada zako ingawa sikujui kabisa maana na base kwa content

So bado hamna shida hta kma muandishi hafahamiki muhimu tu asiwe amepotosha au kukinzana na wenzie.
 
Wamebase kwenye content tu sawa na ww @Zurri naweza amini mada zako ingawa sikujui kabisa maana na base kwa content

Mnajuaje kama iko sawa yaani mizani yenu ya usawa ni ipi ?

Je katika hiyo nyimbo marejeo yake ni katika Injili au Torati au Zaburi ?
 
Mwandishi anatambulika sema wewe humtambui anaitwa mfalme Suleiman Mwana Wa Daudi
 

If Melkizedeki is Jesus Christ then the next coming of Jesus will be the "Third coming" not the Second coming as it is preached, Bible scholars need to update their theology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…