Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Hivi mwenye Songoro marine asili yake wapi?
sasa mbona za lake Nyasa zimebuma?Songoro Marine alifariki mwaka jana,pale Kyela kaacha watoto wa kutosha.
Mm alikuwa rafiki yangu sana,ni mzalendo aliye ipenda nchi yake.
Tenda zote za ujenzi wa hizi meli zilifuata mchakato halali
Apumzike kwa aman
Jo tumwombe Mungu awabadili wanachukua chako mapema , ili tuweze fika tuendako. 🤔Meli zote tatu zinazotoa Huduma katika ziwa Nyasa zimeharibika na meneja wa TPA amesema matengenezo yanasubiri kwanza tathmini kutoka Shirika la Bima la taifa ( NIC)
Naye Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Homera ameitaka TPA makao makuu pamoja na Wizara ya uchukuzi kueleza ukweli tatizo la meli hizo ni nini badala ya kuwataabisha wananchi walioaminishwa kwamba tatizo la meli ziwa Nyasa sasa ni historia.
Source: ITV habari
Mungu wa mbinguni atusaidie Kilombero mpunga unaliwa na viwavijeshi.
Hii ni awamu ya kupakua mzigo vizuriAliyetengeneza hizo meli ni wa nyumbani anaitwa Songoro Marine
Hatutafika aseeJo tumwombe Mungu awabadili wanachukua chako mapema , ili tuweze fika tuendako. 🤔
Mtanikumbuka!Ukweli dikteta alikuwa na nafuu tatizo lake lilikuwa kwenye haki za binadamu lakini alikuwa mfuatiliaji, PM na bibi ushungi yaani sijui huwa wanafanya kazi gani. Hatari sn
tetetetetetMtanikumbuka!
Ilikuwa inaletwa xray mpya inafanya kazi mwezi wanaichokonoa inakufa ili watu waende private! Mbongo utamuweza kwenye hujuma?sasa mbona za lake Nyasa zimebuma?
Acha ushamba,hata boing waliisha wahi tengeneza ndege zikabuma, Nani mzungu,sembuse Mtanzania?Samia mwenyewe alitoa ela ya kutengeneza meli yote ikaliwa.sasa mbona za lake Nyasa zimebuma?
Kuna watu hapo wanachota pesa ndefu kwa njia chafu siyo bureMeli zote tatu zinazotoa Huduma katika ziwa Nyasa zimeharibika na meneja wa TPA amesema matengenezo yanasubiri kwanza tathmini kutoka Shirika la Bima la taifa (NIC)
Naye Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Homera ameitaka TPA makao makuu pamoja na Wizara ya uchukuzi kueleza ukweli tatizo la meli hizo ni nini badala ya kuwataabisha wananchi walioaminishwa kwamba tatizo la meli ziwa Nyasa sasa ni historia.
Chanzo: ITV habari
Mungu wa mbinguni atusaidie Kilombero mpunga unaliwa na viwavijeshi.
Na tenda zote za vivuko/meli ndio alikuwa mtengenezaji mkubwaSongoro ni kampuni binafsi ya mwendazake
Hizo meli toka enzi za jiwe zilishakwama mala nyingi tu majini!!!kwani huyo songoro marine ndio ameanza leo kutengeneza meli? Nenda ziwa victoria, hata bahari ya hindi ndio mtengenezaji mkubwa wa meli, sio kwamba hana uwezo ila kwenye meli hizi kuna shida sehemu.Itakua ni hujuma za wahuni. Wanataka meli zitengenezwe na wazungu tu au wachina ili wapige dili. Pia kuna hujuma za kusudi dhidi ya kujenga uwezo wa kujitegemea nchi.
Hapo inahujumiwa songoro marines kwamba hawana uwezo na eti taifa bado haliwezi kujenga meli.
Yote hayoo lawama kwa mama kuacha kwa kusudi ku maintain momentum ya umagufuli. Anajionyesha kua darling wa mabeberu kazi kuombaomba mikopo isiyokua na tija na hela za bure 'grants' ili wahuni wapige panga.
Ndani ya mwezi mmoja moja ya meli hizo ilipata hitilafu na ikasimamishwa kufanya safari zake. Kwa sasa karibu zote zimesimama. Need we say more?Kwai umeambiwa tatizo ni nini au wewebuna mawazo yako tu?
Hapo hakuna sheria ya manunuzi yeyote iliyotumika, hakuna ushindani wala kutoa quotation! Mjenzi si ni wa nyumbani. Matokeo yake ndio hayo.Aliyetengeneza hizo meli ni wa nyumbani anaitwa Songoro Marine