Meli iliyotengenezwa Kenya kuanza kutumika

SECO Engineering imehusika sana katika kuunda na kukarabati meli huko Mombasa, Zao ni kubwa. nadhani hii moja ni nguvu ya mtu binafsi.
 
Hongera Kenya.

huku Tz bado majipu yanatumbuliwa
 

Na hii Nyehunge ya Ukerewe iliyozinduliwa mwezi uliopita iliyoundwa na company ya wazawa hapo Mwanza itaitwaje kama hilo boya linaitwa meli??? That's life jacket
 
Meli ya Nyehunge iliyotengenezwa na WATANZANIA Mwanza

Picha 7: Makamu wa Rais aliposafiri kwa meli kuelekea katika Kisiwa cha Ukerewe

By: Swahili Times / Posted: Thursday 17th November 2016
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amesafiri kwa meli ya abiria kuelekea katika Kisiwa cha Ukerewe akitokea Mwanza mjini.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,akiwa ndani ya meli wakati wa safari.
 
Tunajenga meli kubwa za Mizigo ziwa Nyasa.
What do u say..!!
Hahaa.. tunawakujua nyie huwa hamjui tofauti kati ya manufacture na assembly...anyway vipi naskia ndani ya mwaka mmoja mmeanzisha viwanda zaidi ya 1800!! Ebu mwageni hata picha humu tuoshe macho[emoji3] [emoji3]
 
Sasa mbona mnabeza mchicha wetu ambao tunategemea utakua mbuyu hivi karibuni. Mafundi wa jua kali wetu wametengeneza meli ya uvuvi kwa mara ya kwanza, wanafaa kupewa hongera na hamasa.
Huko wanaunda juakali mnapiga mayowe na tambo za kike huku vinaundwa mpaka na jeshi lakini watu tumenyamaza. Acheni mambo ya kike wakenya leteni habari zenu kama informing mode sio kama kutambia au kujishebedua kama mmepigia hatua kubwa kuwazidi wengine kumbe ni choka mbaya tu.

MV.Kigamboni kilijengwa mwaka 2009 na
kwa taratibu za vivuko vinavyofanya safari zake katika maji ya chumvi hutakiwa kufanyiwa ukarabati mkubwa kila baada ya miaka mitano.
Hata hivyo, Dkt.Magufuli amewahakikishai wananchi wa Kigamboni kuwa mwaka wa fedha 2014/15 Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 3.7 kwa ajili ya kununua kivuko kipya kitakachofanya safari zake maeneo ya Kigamboni.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wa kwanza kulia akipewa maelezo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe kuhusu ujenzi wa kivuko cha Msanga Mkuu(MV Mtwara) kilicho katika hatua za mwisho za matengenezo chini ya Kampuni ya Sangoro Marine Transpot Limited.
Luteni Kanali Abel Gwanafyo akitoa maelezo kwa Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu ukarabati wa Kivuko cha MV. Kigamboni kinachofanyiwa ukarabati na Jeshi la Wananchi wa Tanzania kupitia kikosi cha Wanamaji (Nav) Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoka katika kivuko cha MV. Kigamboni mara baada ya Ukaguzi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
 
Mjomba, waache sisi kimya, tumeshaaza mpaka kutengeneza vifaru vyetu, wao wanapiga mayowe na boti za karatasi.
 
Wakati Kenya wanatengeneza mtumbwi mkubwa wa kubeba tani kumi, miaka miwili mitatu iliyopita, Tanzania ilitengeneza Mv Magogoni inayobeba zaidi ya tani 150!

Nasikia pia mnajenga the largest Titanic in the world itakayofanya safari pale Lake Chala......Duuh!Danganyika ya Viwanda I say.Mmefanya.
 
Huyu jamaa nae sijui kala maharage ya wapi
Hii ndo meli?
 
Yani wakenya kwa misifa mnaongoza duniani.Yani huo mtumbwi mkubwa ndio wakuja kutamba nao kwa wanaume.Uzuri Tz tunaunda vitu vyetu vya maana kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…