Meli iliyotengenezwa Kenya kuanza kutumika

Ndio ndugu zetu hao, wanasema utachaguwa rafiki lakini huwezi kuchagua ndugu. Ni kukomaa nao tuu mpaka kieleweke.
 
Kha!! hizo takwimu za wapi. Wafanya mtihani kidato cha nne karibia 1,000,000 unamaanisha 999,999 sio?
Hebu nipe hizo proof kama sio uongo.
Haya mimi nasubiri hilo jibu [emoji57]
 
Watz hamjiwezi jamani,kuponda tuuu! mnachoweza ni kujenga vyoo elfu moja toka mwanza hadi dar? Hivi huo mchakato umefikia wapi maana hata vituo vya mwendokasi mmenyea havifai tena!!!!
Halafu unaonekana upo Bongo kutafuta maisha.Kwenu ardhi ishu,hivyo kwa kimya tu.
 
if you live in a glass house, better not throw stones kwa jrani!!!

kenya









tanzania


tz




tz


kenya







 
Harudii tena kuchokoza huyu wakuu.
 
Nimepata hhhhhhhhhhhhhhh ni 60% Lowest grade possible!!!!
Shock as 60pc of Tanzania students fail national exam
Hahaa ..jina tanzania na elimu haziendani kwenye sentensi moja, ni kama kitendawili vile. Ni hatari huko, huwa wanaandika mitusi na kuchora humo ndani ya mitihani, ukiiona utacheka sana, picha tutaziweka humu tu. Waboreshe elimu tu maana ni kilio na majonzi wanapoanza ze ze zee, kadamnasi ya waafrica wenzao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…