Unaishi Kanda ya ziwa au unabwabwaja tu? Ulishawahi kuishi kwenye visiwa vya ziwa Victoria na uonje shubiri ya usafiri wa Dagaa, Samaki, bidhaa na watu?Mwananchi anataka maisha mazuri
Mwananchi anataka akitafuta apate sasa kama pesa tu ni ngumu kuipata japo anafanya kazi ataifurahia vipi nchi yake na pesa ya kupanda hiyo meli ataitoa wapi
Tuboreshe maisha ya wananchi kwanza waache kulialia kwanza
E&K
Wivu Wakike huoHongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.
Hongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.