Meli kubwa 🛳 Africa Mashariki na kati 🌍 only in 🇹🇿

Meli kubwa 🛳 Africa Mashariki na kati 🌍 only in 🇹🇿

Mwananchi anataka maisha mazuri
Mwananchi anataka akitafuta apate sasa kama pesa tu ni ngumu kuipata japo anafanya kazi ataifurahia vipi nchi yake na pesa ya kupanda hiyo meli ataitoa wapi
Tuboreshe maisha ya wananchi kwanza waache kulialia kwanza

E&K
Unaishi Kanda ya ziwa au unabwabwaja tu? Ulishawahi kuishi kwenye visiwa vya ziwa Victoria na uonje shubiri ya usafiri wa Dagaa, Samaki, bidhaa na watu?
 
Hongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.
Wivu Wakike huo
 
Bravo my President JPM
Bravo my beloved country TANZANIA
 
Hongera ila nilijua mnazindua tayari imetengenezwa, kumbe ndio mnajiandaa kutengeneza, hivi ni kipi mumetengeneza au mradi gani mumekamilisha maana naona kila sehemu na kila siku ni uanzishwaji wa miradi, lini mtakamilisha hata moja muitumie kwenye picha za kampeni, mumesalia na mwaka mmoja muingie kwenye uchaguzi.
Kuna ile SGR mnatupigiaga makelele humu kila siku nilijua mshapiga hatua mpo mnakamilisha, juzi ndio nimeona humu mumeanza kutupa mapicha ya ulazaji wa mataluma ya zege, yaani bado mbali sana, ilhali ni kasafu kenye umbali mdogo sana kilomita 200km wakati sisi tumechana mbuga tupo mbali sana.

vipi maji nairobi yapo maana kulikuwa na kiu jijini accoriding to the citizen kenya...vipi petroli naskia lita ni sh 130 3000tsh ..hali ni mbaya kenya kuna asiyejua ...
 
Back
Top Bottom