Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,351
- 9,838
Huu ugomvi kuna watu tunaufurahia ila unatuathiri kwenye gharama za maisha, ukianzia na kupanda kwa gharama za kusafirisha kontena!
Mimi binafsi sijui kati ya paka mweusi na paka mweupe nani mbaya ila ntakimbia na paka aliyekimbia na samaki yangu...
Ndio... Siwezi kula ugali mchuzi na harufu ya samaki halafu namuona samaki yulee anaondoka.
Sijui Marekani anatokaje kwenye hili sakata!
Ni au atoke kwa aibu.. which will not happen au aonyeshe nguvu tupate ww3..
Of which USA could be defeated!
Mimi binafsi sijui kati ya paka mweusi na paka mweupe nani mbaya ila ntakimbia na paka aliyekimbia na samaki yangu...
Ndio... Siwezi kula ugali mchuzi na harufu ya samaki halafu namuona samaki yulee anaondoka.
Sijui Marekani anatokaje kwenye hili sakata!
Ni au atoke kwa aibu.. which will not happen au aonyeshe nguvu tupate ww3..
Of which USA could be defeated!