wabongo bwana! yaani unavyoandika utadhan unafahamu peke yko vle?!
HIV uliona ln k2 kkbwa kkaw cr? hata BUSHA halina cr xmbuse Mi MELI mikubwa tena ni yakivita! Inamaana haifanywagi sevise au?
Itoe hiyo mifanoHuijui vizuri urusi warusi ni watu hatari sana wao malanyingi vyombo vyao vyenye uwezo mkubwa hawapendi kuviweka hadharani nikikuolea mifano utashangaa sana
Kumbuka wakati huo Urusi ndiye kwa kiasi kikubwa alifanikisha ujerumani kushindwa vita. Na hao 15 million wengi ni raia. Kwa wakati huo US alikuwepo lakini Mrusi alifanyakazi kubwa.Sasa kama Urusi inapoteza wanajeshi milioni 15 katika vita unadhani kuna kitu hapo???
mtu wa kwanza kusafiri angani ni mr.meja yuri gagarini alikuwa mrusi leo urusi ikose marubani?Jeshi la Urusi linaweza kukosa marubani wa ndege? nadhani hapo umepotoka..nchi kubwa kijeshi kama Urusi haiwezi kukosa rubani...Urusi ina Marubani waliokamilika wa ndege mbalimbali zaidi mil 3 hao wako active haujagusa wale reserve ambao nao wanafikia mil 1..
ila ile aircraft carrier ya mrusi ,kuz,ni heavily armed kuliko aircraft carrier yeyote,kiasi kwamba inaqualify pia kuitwacruise missile aircraft carrier,ina makombora lukuki kwa ajili ya kujilinda yenyewe na pia kushambulia,ndo maana kama alivyodai mmoja kuwa haihitaji ulinzi wa meli zingine kama aircraft carrier za marekaniNani kakwambia carrier za US hazina mifumo ya kujilinda na kushambulia?!...na sasa hv wanataka kuzitengenezea carrier zao Ant-toperdo
Ila naona sidhan km US anahitaj kuziarm carrier zake na cruise missiles wakt ana destroyers kibao za kuweza kuisindikiza popote pale iendapo.ila ile aircraft carrier ya mrusi ,kuz,ni heavily armed kuliko aircraft carrier yeyote,kiasi kwamba inaqualify pia kuitwacruise missile aircraft carrier,ina makombora lukuki kwa ajili ya kujilinda yenyewe na pia kushambulia,ndo maana kama alivyodai mmoja kuwa haihitaji ulinzi wa meli zingine kama aircraft carrier za marekani
Na kutokana na kisa hiki ndo tukalijua neno nyambizi,kabla ya hapo hatukuwa na taarifa ya hayo madude, sisi tukaona isiwe shida wanawake wanene na wenye makario wakaitwa manyambizi na wasanii nao wakatumia fulsa za umaarufu wa neno wakatunga nyimbo, muumin mwijuma akawa na nyimbo yenye maneno ya nyambizi, dully sykes naye akaja na nyimbo ya nyambizi...hio ni kursk submarine mkuu ilitokea 2000 sababu inasemekana ilikua ni hitilafu iliotokea kwe nuclear reactor
hahahaa hizo ndio fani zetu waafrica mkuu...hizo habari za submarines na matakataka mengine wanajua wenyew wenye ngozi nyeupeNa kutokana na kisa hiki ndo tukalijua neno nyambizi,kabla ya hapo hatukuwa na taarifa ya hayo madude, sisi tukaona isiwe shida wanawake wanene na wenye makario wakaitwa manyambizi na wasanii nao wakatumia fulsa za umaarufu wa neno wakatunga nyimbo, muumin mwijuma akawa na nyimbo yenye maneno ya nyambizi, dully sykes naye akaja na nyimbo ya nyambizi...
Ungeweka na picha ingenoga Sana
Unadhani marekani ni wajinga hadi wataje idadi halisi ya meli zao za kivita?Urusi ni wasiri sana. Wanaweza kuwa na meli bora zaidi na dunia isijue hadi watapoamua kuweka wazi kwa sababu za kiusalama.
Sijaona Habari inayohusu KUZNESTOV, nafikiri ningezipata nikaoanisha kilichosemwa kwenye hii article kuhusu na kilichoandikwa kwenye hiyo website ningeprove kwamba source ya information ya mtoa Mada iko biased!Good article ila utakuwa umebase kwenye US media kama chanzo cha habari zako.... Leo hii kama vyombo vya habari kama vingekuwa na nguvu + kutumia lugha ya kiingereza kwenye mambo yao tungekuwa tunaujua ukweli Wa mambo...
Naaomba uingie hapa, hii ni website ya warusi utapata habari kemkem kuhusu majeshi ya warusi moja kwa moja kutoka kwao na sio propaganda za wamarekani
Russia Insider: True News, not just Headlines!
Urusi ya kipnd kile huwezi linganisha na urusi ya sasa....kiuhalisia USA ipo juu kwa sasa....hakuna wa kupamabana na USA now daysKumbuka wakati huo Urusi ndiye kwa kiasi kikubwa alifanikisha ujerumani kushindwa vita. Na hao 15 million wengi ni raia. Kwa wakati huo US alikuwepo lakini Mrusi alifanyakazi kubwa.
Utube ni ya wap?90% of the information we get in africa sana sana ni from western source, ilifika kipind watu walidhan urusi kaishiwa kabisa lakin nenden u tube muone watu walivyoshangazwa pale mrusi alivyokua aisend cruise missile from submarine kutokea dead sea kwenda syria na ku hit target with deadly accuracy.
angalien you tube, russian chopper mill and kamov zinaperform low level flight ktk hostile area na zinafire kwa ISIS hakuna chopper za marekan wanaweza kuthubutu kufanya ivo jinsi zilivyo vulnerable to small arm fire!!! ila media zote zinasifia kijinga vifaa vya kimarekan hata kama haziko tested in combat
Hahaha, kama ni mfanyakazi wa serikali ukilala hujui kama utaamka kwenda kazini [emoji23]KWANZA TUTENGENEZE MLO MAANA WATU WAMEGEUZWA KAMA MASHETANI. WANAKULA MLO MMOJA KWA SIKU
Mkuu hata km ni mahaba so kiivyo jarbu kidogo kusimama penye ukweli japo kidogo...kwenye kujitangaza hao wote US na Russia wote wanajitangaza mbna huisemi RT kila siku inaponda hao west....Halfu cruise missiles kuhit target kwan hcho ni kitu cha ajabu?!, mbna husemi meli ya US ilivyorushiwa makombora na waasi wa Yemeni ilirusha Tomawak cruise missiles na kuhit target with deadly accuracy kwa kuharibu 3 radar sites za Iran... Half hpo kwenye sijui helicopter za mrusi zinashambulia ISIS zikiwa zinafanya low level flying hyo ni kwa sababu hao waasi hawana zana za kutungulia hzo vitu km zile Manpads na US hawez kuwapa coz anaogopa na yeye siku moja zitakuja kumuumiza... Half kufly low siyo ajabu coz ht helicopter za jeshi letu zinaweza fanya hivyo sembuse AH-64 Apache za marekan... Jaribu kufatilia ile vita ya US na Iraq uone jinsi Apache zilivyokua zinafly very low to avoid radar detection.... Na walikua wanatumia hyo mbinu kudestroy pia hzo radar sites pamoja na tanks, nk.90% of the information we get in africa sana sana ni from western source, ilifika kipind watu walidhan urusi kaishiwa kabisa lakin nenden u tube muone watu walivyoshangazwa pale mrusi alivyokua aisend cruise missile from submarine kutokea dead sea kwenda syria na ku hit target with deadly accuracy.
angalien you tube, russian chopper mill and kamov zinaperform low level flight ktk hostile area na zinafire kwa ISIS hakuna chopper za marekan wanaweza kuthubutu kufanya ivo jinsi zilivyo vulnerable to small arm fire!!! ila media zote zinasifia kijinga vifaa vya kimarekan hata kama haziko tested in combat
Asante kwa kumjibu vizuri kiutaalamu zaidi..ni kawaida kwa helkopta ku fly beow 100m ili zisiwe detected na radar ...kiufupi jamaa ana mahaba yanayompofushaMkuu hata km ni mahaba so kiivyo jarbu kidogo kusimama penye ukweli japo kidogo...kwenye kujitangaza hao wote US na Russia wote wanajitangaza mbna huisemi RT kila siku inaponda hao west....Halfu cruise missiles kuhit target kwan hcho ni kitu cha ajabu?!, mbna husemi meli ya US ilivyorushiwa makombora na waasi wa Yemeni ilirusha Tomawak cruise missiles na kuhit target with deadly accuracy kwa kuharibu 3 radar sites za Iran... Half hpo kwenye sijui helicopter za mrusi zinashambulia ISIS zikiwa zinafanya low level flying hyo ni kwa sababu hao waasi hawana zana za kutungulia hzo vitu km zile Manpads na US hawez kuwapa coz anaogopa na yeye siku moja zitakuja kumuumiza... Half kufly low siyo ajabu coz ht helicopter za jeshi letu zinaweza fanya hivyo sembuse AH-64 Apache za marekan... Jaribu kufatilia ile vita ya US na Iraq uone jinsi Apache zilivyokua zinafly very low to avoid radar detection.... Na walikua wanatumia hyo mbinu kudestroy pia hzo radar sites pamoja na tanks, nk.