Meli vita hatari zaidi ulimwenguni kwa sasa

Meli vita hatari zaidi ulimwenguni kwa sasa

Putin mnyama ( panda ) hata trump anakubali hilo tena hapendagi ujinga kutangaza zana zake, kumbuka siri kubwa ya WW2 aliibeba USSR ndo maana NATO haiweki mguu kwa WARSAW-Pact na wanamheshm coz ye ndo alouangusha utawala wa wa Naz marekan alisanda na alliance wake
 
Huijui vizuri urusi warusi ni watu hatari sana wao malanyingi vyombo vyao vyenye uwezo mkubwa hawapendi kuviweka hadharani nikikuolea mifano utashangaa sana
Mkuu katika dunia ya sasa hakuna asiyependa sifa na ufahari, Urusi nao kama Usa pia wanapenda misifa tu
Huoni North Korea wanavyohangaika kila siku kwenye media kuionesha Usa kwamba nao wamo[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Anyway vipo vitu ambavyo ni classified ambavyo both US na Russia hawavioneshi.
 
As far as I know....ni Aircraft carrier moja tu yenye mifumo ya kujilinda yani Air defence system na kujilinda na underwater threat like submarine or under water missile i.e Torpeode nayo ni Aircraft carrier ya Russia ndo maana hua inasafiri na msafara wa Destroyer au frigate chache au inakua pekeake...Zilizobaki zote hazina mifumo ya ulinzi ya kujilinda hivyo kuhitaji ulinzi was meli zingine mfano Destroyer ,submarine na Frigate....Na kazi moja was aircraft carrier ni kubeba ndege vita sehemu ambapo hapafikiki kwa maan a ya uwanja was ndege hivyo zinakua km meli zenye viwanja vya ndege...Km ya Russia inabeba ndege 40 hizi ni nyingi sana kwa attack haina maana kubeba ndege 80 nauku just one torpeodo fired from Fateh Iran made submarine can inflict big loss to particular country
 
As far as I know....ni Aircraft carrier moja tu yenye mifumo ya kujilinda yani Air defence system na kujilinda na underwater threat like submarine or under water missile i.e Torpeode nayo ni Aircraft carrier ya Russia ndo maana hua inasafiri na msafara wa Destroyer au frigate chache au inakua pekeake...Zilizobaki zote hazina mifumo ya ulinzi ya kujilinda hivyo kuhitaji ulinzi was meli zingine mfano Destroyer ,submarine na Frigate....Na kazi moja was aircraft carrier ni kubeba ndege vita sehemu ambapo hapafikiki kwa maan a ya uwanja was ndege hivyo zinakua km meli zenye viwanja vya ndege...Km ya Russia inabeba ndege 40 hizi ni nyingi sana kwa attack haina maana kubeba ndege 80 nauku just one torpeodo fired from Fateh Iran made submarine can inflict big loss to particular country
G and search for more details about NIMITZ braza, hata Russia wenyewe wanakubali kuwa huu ni mziki mzito...N bado FORD is on the way coming..haya mambo hayahitaji ushabiki...
 
Ila wamarekani naona kama wanacheza na media sana kutangaza vifaa vyao vya kiusalama tofauti na Urusi ambao hawachezi sana na media kujitangaza kiusalama.
Lugha wanayotumia kujitangaza hatuijui
 
AK 47 ni mwisho wa matatizo.Kama iyo Ak tu inasumbua vip kuhusu ayo makombora na manyambizi yao warusi.Kwaujumla marekan na mrusi hawapishani sana kwenye zana zakivita maana technolojia ndo iyo iyo inayozinguka ila sema bado kuna mambo hawawezi weka wazi sana sababu zakiusalama.Tunachokipata sis nikile ambacho wameamua kukiweka wazi kwasababu zao ila yako meng wanaficha.
 
Jeshi la Urusi linaweza kukosa marubani wa ndege? nadhani hapo umepotoka..nchi kubwa kijeshi kama Urusi haiwezi kukosa rubani...Urusi ina Marubani waliokamilika wa ndege mbalimbali zaidi mil 3 hao wako active haujagusa wale reserve ambao nao wanafikia mil 1..
inaweza ikawa ni mbonu tu za kuhadaa kuwa hawana marubani kumbe wanao
 
Jeshi la Urusi linaweza kukosa marubani wa ndege? nadhani hapo umepotoka..nchi kubwa kijeshi kama Urusi haiwezi kukosa rubani...Urusi ina Marubani waliokamilika wa ndege mbalimbali zaidi mil 3 hao wako active haujagusa wale reserve ambao nao wanafikia mil 1..


Mkuu Somoche bado una mentality ya cold war!!!

Mambo yamebadilika mkuu...
 
Aircraft carrier ni platform tu ya kubebea ndege,haina uhatari wowote kuizidi let say destroyer moscva.

Kwa uhatari wa kuangamiza cha kwanza ni submarine,kisha destroyer.

Kwamfano sub ya marekani inakuwa na kombora za nyulia Trident,kombora moja lina indepent reentry vihecle 6,vyenye warhead jumla 6,
warhead moja ina nguvu za kiloton 400,hiyo nguvu ya warhead moja tu inazidi nguvu ya milipuko yote iliyotumika katika vita vya kwanza vya dunia na vya pili ukijumlisha na yale makombora mawili ya atomic yaliyopigwa hiroshima na Nagasaki,hicho ni kichwa kimoja kati ya 6 vilivyobebwa na kombora moja,sasa submarine inakuwa na kombora zaidi ya 100,
maanake ni kuwa submarine moja inaweza teketeza nchi zima bila wasiwasi.

Na kwakua ni nuclear powered inaweza kukaa chini ya maji hata mwaka.

Hiyo ni sub ya marekani,sasa piga hesabu mwenyewe kuhusu sub ya mrusi ambayo kila kombora moja lina vichwa 10
Naomba nikurekebishe mkuu... Trident ya US ina uwezo wa kubeba had vichwa 12 ila chini ya START imepunguzwa had 8-10 ila wenyewe wanasema kwamba bado inaweza kuwekwa vichwa 12...ila Trident za UK ndo zinabeba hvyo vichwa 6...Halfu Ohio submarine ya US ina uwezo wa kubeba hzo Trident 24 na jumla ya idad ya hzo Ohio suBs zipo 18 sasa hpo piga (24×18=432 zidisha Mara 8
idad ya vichwa vya nuclear 432×8=3456 kwa hyo Ohio submarines tu peke yake zina uwezo wa kubeba 3456 independently nuclear warheads.
 
aircraft carrier sio nyambizi, nyambizi ni submarine bro correction kidogo upande wako!!! alafu watu hawaelew kua na expensive vessel does not always means uko strong sana kuliko mwingine suala ni doctrine mbali mbali jeshi lenu zilizojiwekea kwa mfano china wana missile moja dong feng linaweza izamisha hili carrier so tuwe walewa tunapolinganisha majeshi tujue na mtu silaha yake!!!! kwa mfano mchina ana ndege za kujihami ( interceptor) nyingi na wanaweza kuzi rpoduce haraka ktk vita in record number na ni cheap so ww lete dege lako moja expensive kama f22 mchina kwa cost kama ya iyo f22 anakutengenezea interceptor chengdu 21 kama 20 je ndege moja hata iwe bora vita is no match to 20 fighter with lesser abilities.

wachina wanakwambia quantity is also some sort of quality.
Hzo interceptor nying China anazitoa wapi wakt idad ya ndege za China imezidiwa Mara tatu na marekan... Hlaf unaweza kutuma hzo interceptor zako 20 half F22 ikazidetect umbali mrefu sana kutokana na kua na better avionics, radar, etc then zikashambuliwa kabla hata hazijaifikia hyo F22...Halafu kitu kingine inachoifanya F22 kua baddas plane ni kwamba inaweza kulaunch missile first then inakuja kulock onto the target baadae hii inasaidia kupunguza NO ESCAPING ZONE tofaut na ndege nyingine ambazo lazma kwanza zione target ndo zifaye missile.
 
Future US 6th generation fighter
Future US fighter jet.jpg

Future China 6th generation fighter
China JXX Stealth.jpg


Future Russia glider
Russia's new Yu-74 glider.png


Hapa hakuna mshindi na hiyo ni kuduuchu tu.
 
Ukweli ni kwamba siri za kijeshi zitabaki kuwa za kijeshi tu.......hakuna anaeweza kuanika jeshi lake waziwazi ili walijue udhaifu wake hayo mengineyo ni propaganda tu
 
As far as I know....ni Aircraft carrier moja tu yenye mifumo ya kujilinda yani Air defence system na kujilinda na underwater threat like submarine or under water missile i.e Torpeode nayo ni Aircraft carrier ya Russia ndo maana hua inasafiri na msafara wa Destroyer au frigate chache au inakua pekeake...Zilizobaki zote hazina mifumo ya ulinzi ya kujilinda hivyo kuhitaji ulinzi was meli zingine mfano Destroyer ,submarine na Frigate....Na kazi moja was aircraft carrier ni kubeba ndege vita sehemu ambapo hapafikiki kwa maan a ya uwanja was ndege hivyo zinakua km meli zenye viwanja vya ndege...Km ya Russia inabeba ndege 40 hizi ni nyingi sana kwa attack haina maana kubeba ndege 80 nauku just one torpeodo fired from Fateh Iran made submarine can inflict big loss to particular country
Nani kakwambia carrier za US hazina mifumo ya kujilinda na kushambulia?!...na sasa hv wanataka kuzitengenezea carrier zao Ant-toperdo
 
acha kukurupuka dogo, kuwa na marubani milioni 3 hakufanyi kuwa na ndege za idadi hiyo.
kma maruban tu wako million tatu tuseme huo ndio ukubwa wa airforce..ukijumlisha army na navy si utapata jeshi lao lina ukubwa zaidi ya watu million 15 acheni uongo
 
Kuna mwaka fulani , kama miaka 15 hivi iliyopita, Nyambizi ya Kirusi (Submarine) , ilizama na kuleta taharuki ,kuna anaeyekumbuka sababu?
 
Kuna mwaka fulani , kama miaka 15 hivi iliyopita, Nyambizi ya Kirusi (Submarine) , ilizama na kuleta taharuki ,kuna anaeyekumbuka sababu?
hio ni kursk submarine mkuu ilitokea 2000 sababu inasemekana ilikua ni hitilafu iliotokea kwe nuclear reactor
 
Back
Top Bottom