Meli vita hatari zaidi ulimwenguni kwa sasa

Meli vita hatari zaidi ulimwenguni kwa sasa

Angalia the last ship season 1 utajua nguvu ya meli za urusi dhidi ya marekani
 
Jeshi la Urusi linaweza kukosa marubani wa ndege? nadhani hapo umepotoka..nchi kubwa kijeshi kama Urusi haiwezi kukosa rubani...Urusi ina Marubani waliokamilika wa ndege mbalimbali zaidi mil 3 hao wako active haujagusa wale reserve ambao nao wanafikia mil 1..
mkuu wewe ni hauz geli wa general wa uruc au? hiz sosho umetoa WAP? au umezgugo makalioni?
 
Huijui vizuri urusi warusi ni watu hatari sana wao malanyingi vyombo vyao vyenye uwezo mkubwa hawapendi kuviweka hadharani nikikuolea mifano utashangaa sana
wabongo bwana! yaani unavyoandika utadhan unafahamu peke yko vle?!
HIV uliona ln k2 kkbwa kkaw cr? hata BUSHA halina cr xmbuse Mi MELI mikubwa tena ni yakivita! Inamaana haifanywagi sevise au?
 
wabongo bwana! yaani unavyoandika utadhan unafahamu peke yko vle?!
HIV uliona ln k2 kkbwa kkaw cr? hata BUSHA halina cr xmbuse Mi MELI mikubwa tena ni yakivita! Inamaana haifanywagi sevise au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mmmmmmmh hatari sana sana, hawa Jamaa kuna siku watakuja kuiangamiza Dunia kabisa. Lakini,mshangao eti unakuta Korea anaitunishia misuri Marekani. Marekani wanachofanya siku hizi ni kunyamaza tu na kuendelea na mambo yao. Lakini hawa watu ni hatari zaidi KIVITA,KIUCHUMI NA KISIASA.
Hivi Urussi tangu lini ikawa ni tishio duniani? Ilishawahi kupigana vita gani ya kutisha?
 
Mleta mada amejaribu kuainisha ulingani huu kwa kuweka baadhiya data. Ni vyema na wewe sasa ukapinga haya kwa data, vinginevyo wewe ndiye unaonekana mjinga. Anyway, siyo kosa lako bali ni kosa la serikali za ccm.
Hahahaaaaaaaaaa
 
Masikini wengi duniani wsnahitaji msaada lakini watu wako busy kutengeneza 'madude' ya kuuana.
 
Habari zozote mlizonazo kuhusu uwezo wa kijeshi wa nchi hizo kubwa ni habari zile ambazo hazijawa classified, na mataifa hayo yanataka watu waziamini kama zilivyo lakini hazina uhalisia. Kujadili taarifa za kijeshi za mataifa hayo ni kufurahisha genge tu.
 
Wamarekani wanapenda movie sana
Propaganda kubwa kuliko uhalisia
 
Urusi huwa hawajitapi na kujinadi kama marekani wana zana hatari zilizofichwa ndo maana putin anamjambisha obama na hamfanyi kitu
 
Back
Top Bottom