Meli ya 3 ya Israel yatiwa nguvuni Yemen

Meli ya 3 ya Israel yatiwa nguvuni Yemen

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Huu ni mwaka wa wanamgambo wa Houth kupata ngawira kutokana na vita vinavyoendelea huko Gaza.
Muda mfupi ulopita meli nyengine yenye mafungamano na Israel imetekwa kwenye bahari ya Aden
Meli hiyo ya inayoitwa central Park inamilikiwa na kampuni ya ZODIAC MARITIME ambayo ni mali ya tajiri wa Israel ,Eyar Ofer ambaye biashara zake ziko Uiengereza na ina mabaharia kutoka nchi mbali mbali.
Nahodha mkuu wa meli hiyo ni mturuki.
Meli hiyo yote imebeba phosphoric acid.

Israel-linked tanker seized off Yemen’s coast​

1701015886672.png
 
Huu ni mwaka wa wanamgambo wa Houth kupata ngawira kutokana na vita vinavyoendelea huko Gaza.
Muda mfupi ulopita meli nyengine yenye mafungamano na Israel imetekwa kwenye bahari ya Aden
Meli hiyo ya inayoitwa central Park inamilikiwa na kampuni ya ZODIAC MARITIME ambayo ni mali ya tajiri wa Israel na ina mabaharia kutoka nchi mbali mbali.
Nahodha mkuu wa meli hiyo ni mturuki.
Uongo
 
Yemen Houthis hijacked another(3rd) Israeli ship called 'Central Park', which belonged to Israeli businessman Eyal Ofer and was flying the Liberian flag in Red Sea
Yaani sasa Israel sasa wanasafiri kwa kujificha na kupeperusha bendera za nchi nyengine.wanadhani Houth ni kama Misri na Saudi Arabia.Wanazifuatilia na kuzijua vizuri.
 
Yaani sasa Israel sasa wanasafiri kwa kujificha na kupeperusha bendera za nchi nyengine.wanadhani Houth ni kama Misri na Saudi Arabia.Wanazifuatilia na kuzijua vizuri.
Wakianza kusambaratishwa hao jamaa tusisikie kilio tena.
 
Netanyahuu yupo Gaza leo akiwapa moyo wanajeshi wake nakuwatumia message magaidi tunaendelea na vita mpaka tuwe washindi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Askari wake wameshapata kiwewe cha kuendelea na vita ndio maana anakwenda kuwatia moyo.
Kuna vitu wameviona hawapati picha.
 
(kama ni kweli) leo mnawasifia maharamia, kesho mtawahurumia na mtamlaumu yahudi.
 
(kama ni kweli) leo mnawasifia maharamia, kesho mtawahurumia na mtamlaumu yahudi.
Lazima ukipigwa na mchokozi ulie na upige kelele kuomba msaada.Ukipata nafasi na wewe unampiga anayekupiga na akitokea mtu akakusaidia kumpiga asikumalize utamthamini kwa msaada wake.
Kanuni yako ya kupigwa na jambazi usilie au kupigwa ukae kimya kwa kuogopa kuendelea kupigwa sijui umeitoa wapi
 
Huu ni mwaka wa wanamgambo wa Houth kupata ngawira kutokana na vita vinavyoendelea huko Gaza.
Muda mfupi ulopita meli nyengine yenye mafungamano na Israel imetekwa kwenye bahari ya Aden
Meli hiyo ya inayoitwa central Park inamilikiwa na kampuni ya ZODIAC MARITIME ambayo ni mali ya tajiri wa Israel ,Eyar Ofer ambaye biashara zake ziko Uiengereza na ina mabaharia kutoka nchi mbali mbali.
Nahodha mkuu wa meli hiyo ni mturuki.
Meli hiyo yote imebeba phosphoric acid.

Israel-linked tanker seized off Yemen’s coast​

View attachment 2825918
Mwenye connection nao nataka waniuzie injini za hizo meli
 
Kwani unaumia nini wayemeni wakichukua meli za Israel na kushusha mizigo inayowafaa ili kuporomosha uchumi wa Israel wanaoua ndugu zao wa Palestina.
Duh ndo akili za mfuasi wa mudi hizi kweli kazi ipo
 
Huu ni mwaka wa wanamgambo wa Houth kupata ngawira kutokana na vita vinavyoendelea huko Gaza.
Muda mfupi ulopita meli nyengine yenye mafungamano na Israel imetekwa kwenye bahari ya Aden
Meli hiyo ya inayoitwa central Park inamilikiwa na kampuni ya ZODIAC MARITIME ambayo ni mali ya tajiri wa Israel ,Eyar Ofer ambaye biashara zake ziko Uiengereza na ina mabaharia kutoka nchi mbali mbali.
Nahodha mkuu wa meli hiyo ni mturuki.
Meli hiyo yote imebeba phosphoric acid.

Israel-linked tanker seized off Yemen’s coast​

View attachment 2825918
US Navy warship has captured armed men who seized an Israeli-linked tanker off the coast of Yemen on Sunday, US defence officials say.
The assailants attempted to escape on a boat but were chased by the US warship.
 
Back
Top Bottom