Meli ya kivita ya Marekani imepata athari mbaya.Uchunguzi unaendelea

Meli ya kivita ya Marekani imepata athari mbaya.Uchunguzi unaendelea

Mkumbushe mwaka 1988 Iran bahati mbaya alivyotega mines zikaharibu US warship. Marekani ilikuwa kwenye operation kwenye international waters kulinda meli ya mafuta ya Kuwait, kama inavyofanya sasa kulinda meli dhidi ya Houthi. Iran ikatega mabomu ya kwenye maji yakalipua meli ya Marekani na kuifanya ikarekebishwe.

Marekani ikaanzisha Operation Praying Mantis kwenye eneo la bahari linalomilikiwa na Iran kumfundisha adabu Ayatollah. Matokeo yakaisha kwa Iran kupoteza wanajeshi 56, meli mbili, ndege mbili na boti tatu. Marekani ikapata tu ajari ya helicopter wakafa marubani wawili.

Tangu hapo Iran akimuona Marekani kwenye maji anakula kona.
Ndivyo unavyojidanganya kaka!?
Hizo operations za Houthi kuteka meli ni nani kama sio usaidizi wa Iran!?
Ile meli ya Uingereza ya tanker iliyotekwa mwaka juzi ni nani aliyeiteka kama sio Iran!?
Unazungumzia 1988 hii ni 2024.
Usisahau Trump alipopeleka meli zake baada ya kambi yake Iraq kushambulia alishindwa kusogelea maji ya Iran akaishia kukaa kama mvuvi pale.
Usifananishe 1988 Iran ikiwa inajitafuta na sasa 2024 ambapo ishajipata.
Meli ya UK ilipotekwa sio huyo USA wala UK walioinua mdomo mwaka juzi.
 
Taarifa huko vyombo vya habari inasema "damaged after running into something" sasa hiyo into something sijui ni kitu gani.
Hapa kuna kitu sidhani kama ni mwamba huu.
 
Ndivyo unavyojidanganya kaka!?
Hizo operations za Houthi kuteka meli ni nani kama sio usaidizi wa Iran!?
Ile meli ya Uingereza ya tanker iliyotekwa mwaka juzi ni nani aliyeiteka kama sio Iran!?
Unazungumzia 1988 hii ni 2024.
Usisahau Trump alipopeleka meli zake baada ya kambi yake Iraq kushambulia alishindwa kusogelea maji ya Iran akaishia kukaa kama mvuvi pale.
Usifananishe 1988 Iran ikiwa inajitafuta na sasa 2024 ambapo ishajipata.
Meli ya UK ilipotekwa sio huyo USA wala UK walioinua mdomo mwaka juzi.
Kabla Hezbollah haijajibiwa mlikuwanarusha maneno humu kila siku. Mara mnasema Israel haina nguvu, mara inawaogopa. Baada ya Israel kujibu matokeo yake haya hapa Hezbollah haina makamanda tena within few days, hata Marekani ingejibu Iran wangeona vumbi
20240924_232514.jpg
 
Kabla Hezbollah haijajibiwa mlikuwanarusha maneno humu kila siku. Mara mnasema Israel haina nguvu, mara inawaogopa. Baada ya Israel kujibu matokeo yake haya hapa Hezbollah haina makamanda tena within few days, hata Marekani ingejibu Iran wangeona vumbiView attachment 3105958
Hao ni watu wanaweza kuwa replaced.
Labda nikuulize kaka,kwani mwaka huu ndio mara ya kwanza makamanda wa Hizbollah kuuliwa!??
Je kuuliwa kwao kulizuia Hizbollah kuendelea!?
Mmeua makamanda jana na juzi Hizbollah wamekesha wanarusha maroketi ndani ya Israel.
Hao ni watu they can be replaced kaka.
Huko kwa Iran usizungumzie nadhani wanajua gharama ya kuingia vita na Iran sio sawa ya miaka ya 1988.
 
USNS Big Horn imejikwaa kwenye miamba ikiwa kwenye maji ya kina kifupi karibu na ufukweni. Ilianza kuingia maji ila meli za kivita zina watertight compartments. Haijavuja mzigo wake wa mafuta hivyo haina madhara makubwa yaliyotokea.

Ni meli ya kujaza mafuta ya meli kwenye meli nyingine.
Hizo meli kubwakubwa kwani nazo huwa zinatumia mafuta
 
Meli moja ilipigwa na Iran .Halafu wakaangusha na helkopta na wanajeshi wa US wakafa.
Kwa hali hiyo kila mmoja alipata hasara na Marekani ilishika adabu yake.
nakukumbusha tu mpaka muda huu huko Lebanon wameshakufa watu 490 kwa shambulio la siku 2 tu
 
Hizo meli kubwakubwa kwani nazo huwa zinatumia mafuta
Ni meli chache zinazotumia nuclear reactors na zinatakiwa ziwe kubwa. Meli nyingi zinatumia mafuta zinahitaji kujazwa zikiwa na safari ndefu
 
Meli moja ya kivita iitwayo USNS Big Horn imeharibika kama ambavyo inadaiwa picha zimekuwa zikirushwa mitandao kuifanya Marekani ianze kutoa taarifa ya tukio hilo.
Meli hiyo imepata athari kama hiyo karibu na eneo la bahari ya Oman .Hata hivyo mabaharia wa meli hiyo wako salama ingawaje wazungumzaji wa kwenye mitandao wamekuwa wakisema imezama zamani na pahala pake kuchukuliwa na meli ya Henry J. Kaiser-class yenye majukumu sawa na USNS big horn

US Navy replenishment ship operating in Mideast was damaged in an incident, officials say

Waseme kweli tu, Wayemeni washafanya vitu vyao.
 
Meli moja ya kivita iitwayo USNS Big Horn imeharibika kama ambavyo inadaiwa picha zimekuwa zikirushwa mitandao kuifanya Marekani ianze kutoa taarifa ya tukio hilo.
Meli hiyo imepata athari kama hiyo karibu na eneo la bahari ya Oman .Hata hivyo mabaharia wa meli hiyo wako salama ingawaje wazungumzaji wa kwenye mitandao wamekuwa wakisema imezama zamani na pahala pake kuchukuliwa na meli ya Henry J. Kaiser-class yenye majukumu sawa na USNS big horn

US Navy replenishment ship operating in Mideast was damaged in an incident, officials say

Hapo roho kwatu Islamic jihadist wa mpwapwa Dodoma
 
USNS Big Horn imejikwaa kwenye miamba ikiwa kwenye maji ya kina kifupi karibu na ufukweni. Ilianza kuingia maji ila meli za kivita zina watertight compartments. Haijavuja mzigo wake wa mafuta hivyo haina madhara makubwa yaliyotokea.

Ni meli ya kujaza mafuta ya meli kwenye meli nyingine.

Wasitudanganye, waseme ukweli tu.

Wayemeni washaibamiza hiyo.
. Mimeli ile kwa teknolojia za kisasa, inakwepa yenyewe majabali.
 
Wasitudanganye, waseme ukweli tu.

Wayemeni washaibamiza hiyo.
. Mimeli ile kwa teknolojia za kisasa, inakwepa yenyewe majabali.
Wakumbushe hao.Kwanza eneo lote lile limechorwa vizuri miamba yote iliyo chini tangu karne iliyopita.Meli hata za kwetu zinaiona hiyo miamba,
 
Back
Top Bottom