MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Naomba uelewe hizi meli haziji na mzigo wa hapa tu si ajabu gari za dar ni mia tatu tu hua zinakuwa na mizigo ya almost eastern ports of Africa.Wale wanaohoji mizigo inapungua bandarini waje hapa.....
Nyuzi hizi huwa wanapita juu juuWale wanaohoji mizigo inapungua bandarini waje hapa.....
Vipi mchango wako kwenye hii habari?Naomba uelewe hizi meli haziji na mzigo wa hapa tu si ajabu gari za dar ni mia tatu tu hua zinakuwa na mizigo ya almost eastern ports of Africa.
Ipo kwenye Ilani
Wamekuja kuunga mkono juhudi za rais.
Ipo kwenye Ilani
Wale wanaohoji mizigo inapungua bandarini waje hapa.....
Mambo ya nyumbani kwako usibishanie kibarazani kwa jiraniIle ya kimagumashi SIYO imepungua tu, bali imeisha.
Meli Yenye Malori 600 ya Kiwanda cha Dangote Yawasili Mtwara - Global PublishersMeli iliwahi kutia nanga mtwara pale na magari ya dangote.. tuache kusifia ujinga.. picha zinakuja
..
Mambo ya nyumbani kwako usibishanie kibarazani kwa jirani