Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
😅😂Humu hua Kuna wehu ndugu, huyo anaweza kua chizi ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😂Humu hua Kuna wehu ndugu, huyo anaweza kua chizi ujue
Mama kaifanya hii, JPM aliacha mavyuma tu yametupwa hapo nchi kavu, hakuna hata nati iliyofungwaNi project imeanza muda kabla hata ya magufuli kufa
Eti inabeba gari tatu kubwaOna lijinga hili!Meli iliyozeeka kurudishwa ziwani ndiyi issue?Stupid!
Kwan shida iko wap ikiwa magu aliacha vyuma na samia akaendeleaMama kaifanya hii, JPM aliacha mavyuma tu yametupwa hapo nchi kavu, hakuna hata nati iliyofungwa
Ulitaka ibebe ngapEti inabeba gari tatu kubwa
Unaikumbuka meli ya Santorini, ilikuwa inabeba magari makubwa zaidi ya ishiriniUlitaka ibebe ngap
Kinembe bhanaMama kaifanya hii, JPM aliacha mavyuma tu yametupwa hapo nchi kavu, hakuna hata nati iliyofungwa
Ilikuwa ipo 54% alivyokufa ilisimama mpaka pale waziri mkuu alipoenda kuwafokea wachina waliotaka kukimbia na kulitelekeza, Magufuli alifanya makubwa kama hutaki kajinyonge.Mama kaifanya hii, JPM aliacha mavyuma tu yametupwa hapo nchi kavu, hakuna hata nati iliyofungwa
Waziri Mkuu si mwaka Jana tu, halafu ilikuwa zuga, Jiwe alishaiba mahela mengi, na kazi haijaisha.Ilikuwa ipo 54% alivyokufa ilisimama mpaka pale waziri mkuu alipoenda kuwafokea wachina waliotaka kukimbia na kulitelekeza, Magufuli alifanya makubwa kama hutaki kajinyonge.
Magu asingeimaliza, angeongeza bei ili aibeKwan shida iko wap ikiwa magu aliacha vyuma na samia akaendelea
Huyo kamanda uchwara amejawa wivu tu, mwache kama alivyo.Meli gani iliyo zeeka we nae? MV Victoria ilisha fanyiwa ukarabati, na hiyo ni meli mpya iliyokua ikijengwa na waKorea kwa maamuzi ya JPM
Kapigizane kelele na vichaa wenzio siwezi kubishana na mpumbavu.Waziri Mkuu si mwaka Jana tu, halafu ilikuwa zuga, Jiwe alishaiba mahela mengi, na kazi haijaisha.
Mnaendelaje na Malima? Lazima awanyooshe
Unaongea kama chiba Tundu Antipas Mughwai Lissu, ha ha ha umechelewa.Katika ujenzi wa hii meli tuli danganywa eti kuna Gati lina jengwa. Billions zika tengwa. Walai na waambia hakuna cha gati pale. Tume pigwa
Ashe naleng.Asante baba yetuView attachment 2511876
Nenda kapeleke kiboga chako kikaliwe kigotoKapigizane kelele na vichaa wenzio siwezi kubishana na mpumbavu.
Kwani hii Meli ni ya zamani? Nijuavyo mimi ni mradi mpya kabisa na tusichanganye na ile ya zamani ya MV VictoriaOna lijinga hili!Meli iliyozeeka kurudishwa ziwani ndiyi issue?Stupid!
Haikuwahi kuwepo kabla.Ona lijinga hili!Meli iliyozeeka kurudishwa ziwani ndiyi issue?Stupid!