Meli ya MV Mwanza kushushwa majini Februari 12

Meli ya MV Mwanza kushushwa majini Februari 12

Mama kaifanya hii, JPM aliacha mavyuma tu yametupwa hapo nchi kavu, hakuna hata nati iliyofungwa
Ilikuwa ipo 54% alivyokufa ilisimama mpaka pale waziri mkuu alipoenda kuwafokea wachina waliotaka kukimbia na kulitelekeza, Magufuli alifanya makubwa kama hutaki kajinyonge.
 
Ilikuwa ipo 54% alivyokufa ilisimama mpaka pale waziri mkuu alipoenda kuwafokea wachina waliotaka kukimbia na kulitelekeza, Magufuli alifanya makubwa kama hutaki kajinyonge.
Waziri Mkuu si mwaka Jana tu, halafu ilikuwa zuga, Jiwe alishaiba mahela mengi, na kazi haijaisha.

Mnaendelaje na Malima? Lazima awanyooshe
 
Katika ujenzi wa hii meli tuli danganywa eti kuna Gati lina jengwa. Billions zika tengwa. Walai na waambia hakuna cha gati pale. Tume pigwa
Unaongea kama chiba Tundu Antipas Mughwai Lissu, ha ha ha umechelewa.
 
kwenye uzinduzi wa meli hii napo watatoa zawadi za mawe kwenye fremu kwa marais wastaafu wa pwani kwa mchango wao mkubwa?
 
Back
Top Bottom