Meli yawaka moto Red Sea. Meli za kivita za Marekani na Ufaransa zimeshindwa kuzuia shambulio

Meli yawaka moto Red Sea. Meli za kivita za Marekani na Ufaransa zimeshindwa kuzuia shambulio

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na Algeria [emoji1026] na Libya nao wamesema hawataziacha salama meli za Israhell zitakazopita kwenye bahari yake.
Safi sana
Mayahudi hayatakiwi kuishi kwa amani mpaka yaregelee yalipookotwa kabla ya mwaka 1948
Huko mayahudi yaishi yatakavyo ona inawafaaa
 
Mtakapoona meli z8nazotia nanga bandari ya salama zinashambuliwa pua ndipo mtazinduka na kuacha kushabikia upuuzi wa hizi vita zinazoonesha uhayawani wa binadamu.
Sinazokuja kwetu zinatoka china. Hazipiti hapo kwenye mfereji wa susana ndugu
 
Poleni sana, nasikitika watu wa Yemen kipigo kikianza huyo Allah hatawasaidia, youth wanawasha moto halafu hawawezi kuuzima, ni suala la muda tu, mtatafutana
Tofautisha Houthi na Hamas
Houthi ni kama Hizbollah Wana mamlaka katika mataifa Yao.
Houthi Ina jeshi kamili,makombora ya masafa marefu na mafupi,vifaru,mizinga na drones za kutosha pia Wana uwanda was mazoezi hawajifichi kama Hamas.
 
Allah ni wa wote hata hushangai watu wenye silaha kali na technojia yote kushindwa kukimaliza kikundi kidogo tu cha hamas kwa zaidi ya miaka 70 sasa na kushindwa kuwaokoa mateka zaidi ya 100 kwa zaidi ya miezi mitatu , huoni uwepo wa mungu hapo?
Sasa kama wamejificha nyuma ya raia na pia Hamas hawavai combat za kijeshi wakiwa vitani ila kama hamna vita ni mashababi
 
America kamwambia Israel lazima afungue border vyakula vingie Gaza kama anataka usalama wa wake.

Yemen hakuna atakaye muweza si America, si faransa, si muingereza wala Israel.
 
America kamwambia Israel lazima afungue border vyakula vingie Gaza kama anataka usalama wa wake.

Yemen hakuna atakaye muweza si America, si faransa, si muingereza wala Israel.
Yemen chini ya houthi ni hawashikiki MKUU
Houthi pale wapo kwamalengo maalum na us na shost zake wamelijua
Hasa us unadhani kama ingekua sio hali aliyonayo sasa us hapa duniani na houthi wangekua wabovu sasa hv tungeongea mengine kabisaaa
 
Meli inayoitwa Mt/Stindra inaendelea kuwaka moto na karibu ya kuzama baada ya makombora ya Houth kuishambulia katikati ya meli kadhaa za kivita za Marekani na Ufaransa.

Kwa mujibu wa wasemaji wa jeshi la Marekani ambao hawakutaka kutajwa majina yao meli hiyo ilishambuliwa kwa kombora moja tu ambalo halikukosea shabaha yake kutoka meli 60 ndani ya mamlaka ya Houth wa Yemen.

Meli ya kivita ya Mason iliyokuwa eneo hilo japo ilipokea muito wa shida za shambulio lakini haikuweza kutoa msaada wowote na ipo eneo la tukio ikishuhudia na kuangalia namna ya kutoa msaada mwengine,

Zaidi ya wiki moja iliyopita meli tatu za kibiashara zilishambuliwa eneo hilo hilo na meli ya kivita ya USS corney kupambana na makombora kadhaa ya Houth na mwishowe nayo ikarushiwa kombora na kulengwa kwa droni.

Kwenye shambulio hili jipya la leo meli hiyo USS CORNEY haijatajwa kushiriki kwenze zoezi la kupambana na makombora ya Houth wanaopigana kulenga maslahi ya Israel kutokana na vita vinavyoendelea Gaza.

Commercial Ship In Flames After Red Sea Missile Attack

View attachment 2839998
Hapo utakuta na wao mavi yanagonga kyupi nakurudi kwenye chemba[emoji23][emoji23]
 
Kuna watu ambao, thinking capacity zao ni ndogo sana ,Yemen ni kama mlango wa meli zinazokuja toka ulaya na America kuja bahari ya Hindi au kutoka bahari ya Hindi kwenda nchi za magharibi.Sasa mtu anashangilia kabisa akifiri Yemen ni mlango wa meli kwenda Israel.At whatever the case hali ikiendelea kama hivi nchi zitakazo athirka miongoni mwao kwa sehemu kubwa ni nchi za Africa.
Viazi hawaoni hilo
 
Meli inayoitwa Mt/Stindra inaendelea kuwaka moto na karibu ya kuzama baada ya makombora ya Houth kuishambulia katikati ya meli kadhaa za kivita za Marekani na Ufaransa.

Kwa mujibu wa wasemaji wa jeshi la Marekani ambao hawakutaka kutajwa majina yao meli hiyo ilishambuliwa kwa kombora moja tu ambalo halikukosea shabaha yake kutoka meli 60 ndani ya mamlaka ya Houth wa Yemen.

Meli ya kivita ya Mason iliyokuwa eneo hilo japo ilipokea muito wa shida za shambulio lakini haikuweza kutoa msaada wowote na ipo eneo la tukio ikishuhudia na kuangalia namna ya kutoa msaada mwengine,

Zaidi ya wiki moja iliyopita meli tatu za kibiashara zilishambuliwa eneo hilo hilo na meli ya kivita ya USS corney kupambana na makombora kadhaa ya Houth na mwishowe nayo ikarushiwa kombora na kulengwa kwa droni.

Kwenye shambulio hili jipya la leo meli hiyo USS CORNEY haijatajwa kushiriki kwenze zoezi la kupambana na makombora ya Houth wanaopigana kulenga maslahi ya Israel kutokana na vita vinavyoendelea Gaza.

Commercial Ship In Flames After Red Sea Missile Attack

View attachment 2839998
Umesahau kusema ni meli ya ni Russia
 
Back
Top Bottom