Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Hakuna asiyejua hilo mkuu, kwanini asihusike moja kwa moja mpaka akajifiche nyuma ya migongo ya hao wahuni uliowataja. Baada ya yale matamko yake ya kuvuka mstari mwekundu aliishia wapi, alifyata kuona zana vita za Marekani sikisogezwa israel.Iran ndio anatoa mkong'oto huko Gaza , Yemen, Hezbollah kule Lebanon ma islamic resistance kule Iraq ila kwakua huna akili huwezi kujuwa. Iran yupo vitani na marekani na israeli hawawezi kumfanya chochote.