Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
General Aidid walimshindwaSomalia wenyewe wanakufaa njaa , Kenya ukamee hata $ hawana , Mabeberu ni wajanja sana wanapigana kwenye Mali mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
General Aidid walimshindwaSomalia wenyewe wanakufaa njaa , Kenya ukamee hata $ hawana , Mabeberu ni wajanja sana wanapigana kwenye Mali mkuu
Yataisha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Unachekesha Russia ni lini kapigwa pini kuuza mafuta yake? Hajapigwa pinu kuuza mafuta sema hao gays wenzio walisusa kununua mafuta yake lakini nchi yoyote ipo huru kununua mafuta kwa Urusi na hata hao gays pia wananua kimyakimya kwa Rubble,ajifichefiche kuuza mafuta kinyemela nani ambaye amemzuia?
Nchi za North Africa pekee kuanzia january mpk March hii zimeshaimport Barrels 2.8 million za mafuta ya Urusi na mpaka sasa tunavyoongea kuna meli ya urusi imetia nanga Morocco imeleta mafuta hiyo BAN na sanctions inatambulika hukohuko kwenye jamii zenu za mashiga za EU
Muhammad Farah Aydid, original name Muhammad Farah Hassan, (born c. 1930, Beledweyne, Italian Somaliland—died Aug. 1, 1996, Mogadishu, Somalia), Somali faction leader. He received military training in Italy and the U.S.S.R. and served in posts under Mohamed Siad Barre (1978–89) before overthrowing him in 1991. He became the dominant clan leader at the centre of the Somalian civil war. Losing the interim presidency to another factional leader, Aydid continued warring on rival clans. When UN and U.S. troops arrived in Somalia (1992), Aydid ambushed a UN contingent and was declared an outlaw. The attempt to capture him led to many deaths, and foreign troops were withdrawn. He then intensified his campaign against his rivals, but he reportedly died of a heart attack after being wounded in battle.General Aidid walimshindwa
Aliwaonya hamkumsikia mmetoka mlikotoka mnaweka kambi kama kwenu.
Yeye Mrusi anaangalia usalama wa nchi yake na wao kutwa kupeleka manowari ya kijeshi.
Mara ooh mazoezi ya kijeshi ya NATO.
Hao NATO kwanini hawafanyi mazoezi yao Somalia? Au Kenya
Nyie hamna akili blahblah tu bila facts,ubongo wenu ndipo ulipoishia hapw maana zaidi ya kinyesi hamna cha maana kichwani..Bunge la Uganda limeshawapiga marufuku huko msijithubutu kuingia Uganda mtafungwa
MK254 na kp kipanya44 hawa jamaa ni wa kupimwa akili. Kila kitu kipo wazi, lakini ni wabishi kuliko pumbu. Russia ana washirika wake na hawawezi kumtupa. Nchi kama iran haiwezi nahaitakaa imtupe Russia. Uchina, North Korea hizi zimepata teknolojia ya silaha toka kwa russia. Hawawezi kumtupa. Mbwa nyie.
Rabababaaa pyapyapyatakbir
We ulipoamdi uharo wako ulitaka nani asome,, bila kupinga,,!?Liinsha lote hili unaandikia nani, huyo Putin keshafikishwa mwisho, meli zinasakwa sasa....