Danelagen bin Al Maktoum
JF-Expert Member
- Jun 24, 2023
- 354
- 807
Naelewa members wote kasoro bibi mdiniHello,
Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.
Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.
Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.
Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
Mimi mwenyew sijielew nawezaje kusema kuna members siwaelewi we jamaa [emoji23][emoji23]
Ona sasa mwingine uyu apa shem kama shem utanitoa roho 😄 hatuelewNingeshangaa kwa jinsi ulivyo hueleweki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutauanaa asubuhi asubuhi.
😂😂😂😂😎[emoji1787][emoji1787][emoji1787] damu itamwagika
Twende bas tukamuombee wizo uhuru wake
Ona sasa mwingine uyu apa shem kama shem utanitoa roho [emoji1] hatuelew
😂😂😂Kinaonekanaje angali Hali ya hewa yenyew imeligomea shem mwambie mwana😂😂Wewe mpk kivuli chako kimekukataa
Shem km Shem [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@FaizaFoxyNaelewa members wote kasoro bibi mdini
@FaizaFoxy auNaelewa members wote kasoro bibi mdini
[emoji23][emoji23][emoji23]Kinaonekanaje angali Hali ya hewa yenyew imeligomea shem mwambie mwana[emoji23][emoji23]
Tumpeleke kwa MWAMPOSA AKAOMBEWEHuyu GENTAMYCIME GENTAMYCINE hakunaga mtu anamkubali huyu mbwa! Sijui ana laana huyu[emoji848][emoji848][emoji848] wataalam wa kusafisha nyota hebu msafisheni huyu jamaa na mumfanyie dawa akili zake wenge zitulie awe kipenzi cha raia wanaJF [emoji28]
Wewe huupendi mkuu??