Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Huyu GENTAMYCIME GENTAMYCINE hakunaga mtu anamkubali huyu mbwa! Sijui ana laana huyu🤔🤔🤔 wataalam wa kusafisha nyota hebu msafisheni huyu jamaa na mumfanyie dawa akili zake wenge zitulie awe kipenzi cha raia wanaJF 😅
Kama Mimi ni MBWA kama ulivyoniita hapa hata na MAMA YAKO MZAZIi nae ni MBWA vile vile.

Pumbavu.
 
Hanielewi kabisa
Inabidi niamie kwako Cute Wife
Huku kwa cocastic sipendwi
Naona limbwata limeisha sasa, hadi unatamka hayaa.
Nifanye niwahi tenaa kwa mtaalamu, kabla hajafaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mie nawee hatuachanii tunapeana likizo.
Sasa jichanganyee babaa wee, utajua hujuiii.
 
Naona limbwata limeisha sasa, hadi unatamka hayaa.
Nifanye niwahi tenaa kwa mtaalamu, kabla hajafaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mie nawee hatuachanii tunapeana likizo.
Sasa jichanganyee babaa wee, utajua hujuiii.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyooookoo kumbe unaogopa kuachika
 
Njoo taratibuu uduguuu utarogwaa wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siogopi kurogwa, mwenyewe nshavurugwa!!!

Dawa za kuoga nimekunywa, za kunywa nimeoga wewe huogopi?!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom