Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Ndio uzuri wa udugu hana kifua, tumeongea chemba anataka kumalizia ubuyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahahahaqh bado sana siwez kutoa
Sasa apa sielew padre wakike cjawaiona zaidi wapo masister WWE kifua umeachia tena cha kike alafu wataka kua padre kua nabii maana wamejaa wakike ijapokua ktk vitabu cjawai ona nabii wa kike hii Dunia inapelekea thijui😄
 
Sasa apa sielew padre wakike cjawaiona zaidi wapo masister WWE kifua umeachia tena cha kike alafu wataka kua padre kua nabii maana wamejaa wakike ijapokua ktk vitabu cjawai ona nabii wa kike hii Dunia inapelekea thijui😄
Mkuu wewe angalia vizuri
 
Kuumbuka na Mimi unayenitukana ni Baba au Mama yake Mru vile vile kama ilivyo kwa Mama hivyo nakujibu kwa kadri unavyostahili.

Kuhusu Matusi na Kashfa ulizoendelea Kunitusi na Kunitolea hapa tena yote nayageuza kwa Mama yako sawa?

Pumbavu.
Kwani ni mimi peke yangu mwenye kutoa maoni juu yako we Kichaa Genta?!😀
 
Back
Top Bottom