Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Haikufutwa Wizo ni Ban ya wikiii

Ban inaumaaaa jaman

Poleee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nna I’d nasutanaga na watu jukwaa la siasa nachezeaga ban za kufa mtu, ss hivi nipo huku napoza machungu sitaki stress

Siasa za bongo ukizifatilia unakuwa chizi na haswaa wana JF lazima ugombane nao nakwambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Poleee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nna I’d nasutanaga na watu jukwaa la siasa nachezeaga ban za kufa mtu, ss hivi nipo huku napoza machungu sitaki stress

Siasa za bongo ukizifatilia unakuwa chizi na haswaa wana JF lazima ugombane nao nakwambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Saiviii ntakuwa nacomment kwenye nyuzi na kunyanduana tuu, sitakii masiasa tena maana nusura nifutwe mazima jamiiforums
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wizo ndio ukome

Hebu tafuta I’d nyingine ya kumsutia bana, hii iwe ya kupeana burudani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] ninayo nyingine
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kitatoka leo ukose watoto, yaani udugu unapenda umbea Mange akasome

Akili yote ishavurugika khaaa

Subiri mvinyo unikolee nikupe connection
Nyokooooo wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kurushanaa rohoo tyuuh.
 
Back
Top Bottom