Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Boraa umpe hints kabisaaa, heka heka atawezaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Muache akaze fuvu, kudate na udugu inataka moyo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ko naweka foleniii na msururuuu? Zamu hiyo kwioooo?

Eeh ndiwoooooo ni mwendo wa foleni hataki akwendreeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila mtu na akili zake ujue[emoji1787]

Itakuwa unao wengi bro ila sisi tunajua sisy Joh ndio maza house, hao wengine wezi wakae kwa kutulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Itakuwa unao wengi bro ila sisi tunajua sisy Joh ndio maza house, hao wengine wezi wakae kwa kutulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Unaongelea kitu gani mbona unanilisha maneno jmn?

Hapa nimesema member ambaye huwa simuelewi ni Glenn sasa hayo ya wengi umeyatoa wapi😅
 
Back
Top Bottom