johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hizi ni zama za teknolojia mambo yanapaswa kwenda kwa haraka.
Mgombea urais wa JMT mh Benard Membe wa ACT Wazalendo leo amerejesha fomu zake baada ya kuzijaza na kudhaminiwa kwa mujibu wa katiba ya chama chake.
Sasa anasubiri baraka za chama ili aweke hadharani vipaumbele vyake.
Maendeleo hayana vyama!
Mgombea urais wa JMT mh Benard Membe wa ACT Wazalendo leo amerejesha fomu zake baada ya kuzijaza na kudhaminiwa kwa mujibu wa katiba ya chama chake.
Sasa anasubiri baraka za chama ili aweke hadharani vipaumbele vyake.
Maendeleo hayana vyama!