Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda membe ndo awe mgombea mwenza.LISSU NDO MGOMBEA MWENZA WA MEMBE MARK MY WORD
LISSU NDO MGOMBEA MWENZA WA MEMBE MARK MY WORD
ngoma droo chadema msifanye makosa kwa jicho la tatu na tadhimi yangu ya haraka mnaenda vizuri mpitisheni lissu na mgombea mwenza mpitishe FATUMA KARUMELabda membe ndo awe mgombea mwenza.
Membe hana impact yoyoteHizi ni zama za teknolojia mambo yanapaswa kwenda kwa haraka.
Mgombea urais wa JMT mh Benard Membe wa ACT Wazalendo leo amerejesha fomu zake baada ya kuzijaza na kudhaminiwa kwa mujibu wa katiba ya chama chake.
Sasa anasubiri baraka za chama ili aweke hadharani vipaumbele vyake.
Maendeleo hayana vyama!
Endelea kukariri bwashee!Membe hana impact yoyote
Ushawishi wa membe hawe zi mfikia Mzee ngoyai, Tundu lisu, kwenda kwake ACT Nikupoteza muda tu bro.Endelea kukariri bwashee!
Hana ujanja wowote bro, atagombea uraisi atashimdwa na baadae finally atarudi kwenye chama Chao, kama alivyo fanya lowasa na wengin e, na pia anaenda kugombea uraisi kwa hii tume tulio nayo haiko huru kwani 95% ina kibeba chama tawala, kwahio bwana membe anajua wazi kwamba anakwenda pambana na ukuta ambapo matokeo yake atashimdwa, ila kama tume ingekua huru na matokeo ya uraisi yanapingwa mahakamani hapo ingekua bye bro.MEMBE NI MJANJA SANA CCM WAMWANGALIE SANA
Mwanasiasa yupi asiyepoteza muda wake wakati huu?Membe anapoteza muda wake tu
Anajua inavyofanya kazi, usione mpaka mwenyewe ameamua kutumbukia kwenye kinyang'anyiro, Kama sio mission ya kugawanya kura za wapinzani bhasi anajua atawabana wapi CCM.Indeed. Inawezekana Democracy yetu ina maana tofauti. CCM itatawala milele kwa mtindo huu. Membe asingefukuzwa CCM, leo hii bila shaka asingekuwa huko ACT akipretend kugombea urais
Membe huyuhuyu amekiri kwamba CCM ni vinara wa wizi wa kura (ameshiriki pakubwa...) ila bado anapretend kwamba ataweza kuwachallenge wakati system ni ile ile
Bogus huyo jamaakatika hatua ya kurudisha fomu kwa vyama vyao, unapambanishaje watu hawa wawili walio vyama tofauti??....ama kweli nchi hii ninyi wasomi ndiyo mnaongoza kwa upu.mbavu
Sasa anasubiri baraka za chama ili aweke hadharani vipaumbele vyake.
Hujui gem inayopigwa.....Membe anapoteza muda wake tu
Haya ni maandalizi makuu kwa ajili ya kuchukua uraisi wa 2025. Ila kwa uchaguzi huu wataishia kugawanya wananchi wapinzani ambao ni wachache na kuipa CCM ushindi wa kishindo.Ww ndo unapoteza muda wako