Membe aliamini siyo sahihi kuwa mtu anayewania urais lengo lake ni kukigawa Chama

Membe aliamini siyo sahihi kuwa mtu anayewania urais lengo lake ni kukigawa Chama

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Membe alikuwa anapingana na maistream thought katika Chama. Alisema siyo sahihi kusema mtu akiwania urais katika Chama analeta factions katika Chama,na kama ukiiita 'faction' you do it for want of a better word,kwa sababu mtu akiamua naye pia anataka kuwa rais siku moja, that is just human nature, na Democrats na Republicans wote wanarudi katika Chama kuomba ridhaa upya,lakini hapa tunaongea kuhusu utaratibu tuliojiwekea wa rais kuongoza vopindi viwili automatically.
 
Back
Top Bottom