BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Hebu ACT- Wazalendo mtuonyeshe faida ya Membe.
Katika hali ya kawaida nilitegemea labda Membe atatoa mashambulizi upande wa pili, badala yake amekuwa kama mgeni harusini.
Wale watu aliosema watamfuata wako wapi?
Katika hali ya kawaida nilitegemea labda Membe atatoa mashambulizi upande wa pili, badala yake amekuwa kama mgeni harusini.
Wale watu aliosema watamfuata wako wapi?