Uchaguzi 2020 Membe alisema ana wafuasi wengi watamfuata, mbona kama naona ni uongo?

Uchaguzi 2020 Membe alisema ana wafuasi wengi watamfuata, mbona kama naona ni uongo?

Hebu ACT- Wazalendo mtuonyeshe faida ya Membe.

Katika hali ya kawaida nilitegemea labda Membe atatoa mashambulizi upande wa pili, badala yake amekuwa kama mgeni harusini.

Wale watu aliosema watamfuata wako wapi?
Acheni wamaliziè kupulizia sulfa kwenye mikorosho kwanza watakuwa kwa mawfu
 
Hebu ACT- Wazalendo mtuonyeshe faida ya Membe.

Katika hali ya kawaida nilitegemea labda Membe atatoa mashambulizi upande wa pili, badala yake amekuwa kama mgeni harusini.

Wale watu aliosema watamfuata wako wapi?
Kipofu kamuongoza kipofu mwenzake. Wametumbukia shimoni. Dadaadeki
 
Ndio maana sitakaa niamini kauli ya Bavicha yeyote, jamaa ndio waliokuwa wanmdanganya mzee wa watu hapa na akaunti zao kumi kumi za kutengeneza kuwa anakubalika,

Ona kilichompata, wamemgeuka Kama vile hawamfahamu.
 
Hebu ACT- Wazalendo mtuonyeshe faida ya Membe.

Katika hali ya kawaida nilitegemea labda Membe atatoa mashambulizi upande wa pili, badala yake amekuwa kama mgeni harusini.

Wale watu aliosema watamfuata wako wapi?
Proffessional politicians kama zitto ndio wanazingua watu kama membe kufikiri wana wafuasi kibao kumbe wako kaputi. Mtu kama membe hana lolote zaidi ya kuutaka urais lakini hana nia wala hajui atawafanyia nini raia zaidi ya kula bata. Mtu aliyejisifu awamu yao ya 4 kupishana hewani wakienda ulaya ana faida gani kwa maslahi ya mtanzania wa kawaida?
 
I said Membe is a gun for hire. Nothing more.
 
mnataka wajitangaze ili muanze kuwafanyizia unyama, unafikiri tumesahau kauli yenu mlipowatishia wale watakaokatwa ili wasijiunge na upinzani?
Uko sahihi mkuu,
Jana nilikuwa kwenye uzinduzi wa kampeni mgombea wa CCM ambaye wanachama hawataki kumsikia kwani ni chaguo la Kamati kuu, waliokatwa wakalazimishwa kupanda jukwaani kumnadi, lakini wakishuka wanasema hatumpitishi mamluki. Hivyo miili iko CCM roho kwinginee!
 
Back
Top Bottom