Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

Mh. Rais Uhuru Kenyatta na wananchi wa Kenya jinsi wanavyofahamu umuhimu wa raia wake kupigiwa debe apate nafasi za uongozi kimataifa tayari wameonesha kumuunga mkono kwa kila hali kupitia jopo maalum, media, majukwaa ya mitandao ya kijamii n.k wote wanaonesha furaha ya raia mwenzao kupata uwezekano wa kupata nafasi ya juu zaidi kimataifa.

Tayari secretariat maalum imeundwa kuhakikisha ushawishi unafanyika kwa Mh. Monica Juma waziri wa Ulinzi wa Kenya aliyewahi pia kuhudumu kama waziri wa mambo ya nje anapata kuungwa mkono nje ya Kenya baada ya serikali ya Kenya kuona anafaa na nchi ya South Africa ni miongoni mwa nchi za mwanzo kuunga mkono mwafrika mwingine kutoka Afrika apate kuongoza kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola.


Kenya proposes defence cabinet secretary Monica Juma for position of SG of the Commonwealth



Kenya has proposed its defence cabinet secretary Monica Juma for the position of Secretary-General of the Commonwealth. The East African nation has began lobbying diplomats to consider Juma for the post. The current Secretary-General Patricia Scotland has served over two years on her first term, following the postponement of the Commonwealth Heads of Government Meeting in Rwanda. SABC East Africa Correspondent Sarah Kimani spoke to Juma moments after she launched her bid.

Source : SABC News

N.B
Turudi mwaka 2015 November

The next Commonwealth Secretary General​

Published: 7 October 2021Topics: Africa, Caribbean, Kenya, Monica Juma, Patricia Scotland, Secretary General, Uhuru Kenyatta

Since the announcement in August of a Kenyan candidate for the post of Commonwealth secretary general, there has been a slow diplomatic and media exchange of views from those supporting incumbent, Baroness Patricia Scotland, and the Kenyan nominee, the country’s defence minister, Monica Juma.

Round Table has been following the comments and collating some of the articles issued in the last month on this issue. We will continue to update this post over the next few weeks.

Kenya Defence minister Juma proposed for Commonwealth top job – The East African

Kenya’s President Wants ‘Steadfast Leadership’ By Commonwealth Secretariat – Sir Ron Sanders (column), The Voice St Lucia

‘Stalking horse’ battle to eject Baroness Scotland as Commonwealth head – The Times, London

Kenya makes strong case for Defence CS Juma as best for Commonwealth post – The Standard, Kenya

“UK destroying Commonwealth family” – EasternEye

CARICOM leaders discuss wide-ranging issues, including Commonwealth Secretary General – Jamaica Observer

Editorial | Choosing the Commonwealth secretary general – The Jamaica Gleaner

Kenyatta’s bid to grab the Commonwealth’s secretary general post angers members – Africa Intelligence

‘Our Commonwealth family cannot afford to be divided’ – Sydney Morning Herald

Kenya: Juma Launches Commonwealth Bid in Meeting With Diplomats in London – All Africa.com

No such thing as ‘turns’ for Commonwealth Secretary-General – Sir Ron Sanders (column),

Source : The next Commonwealth Secretary General - The Round Table

View attachment 1999290
The Rt Hon Patricia Scotland QC is the current Commonwealth Secretary-General.

The Secretary-General is nominated by Commonwealth leaders and can serve a maximum of 2 terms of 4 years each.

Former Commonwealth Secretaries-General​

  • Kamalesh Sharma of India (2008-2016)
  • Don McKinnon of New Zealand (2000-2008)
  • Chief Emeka Anyaoku of Nigeria (1990-2000)
  • Sir Shridath ‘Sonny’ Ramphal of Guyana (1975-1990)
  • Arnold Smith of Canada (1965-1975
 
Umemfanyia assessment gani hata ukasema uwezo wake ni mdogo? Wacheni kudharau watu musiowajua.
 
Paundi bilioni saba zilikiwa ziwe chini ya usimamizi wake sio za kwake.
 
Kikubwa Membe kasema ukweli moyo wake upate amani.

Lakini sijui kwanini hayo yote yalitokea, anyway Mungu anajua
Naona wa kusema ukweli lengo kupoza mioyo wanazidi kuongezeka....sawa sawa,...Dialo, Vicky Kamata, Membe...ect ect na wengine watakuja....marehemu hatetwi. Wanatufanya watanzania zero brain kabisa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mchizi alifikiir maisha mepesi sana, kakosa urais 2015basi hapo hapo are legitimate kupata u KM Commonwealth.
Maisha hayaendi hivyo bwana Kamilius Membe. Aambiwe, again anajua kabisa fitna na dharau alizomfanyia JPM kuelekea 2015, sema tu marehemu hasemwi.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Jiwe
 
Tangia huu mwaka uanze leo ndo umeongea point[emoji23]
 
Hawa kima Membe sijui wanatuchukuliaje yaan....
Maslahi yao binafsi wanayageuza kuwa maslahi ya Taifa.
Wanatuona kama mazuzu vile
 
Mwisho wa kunukuuu
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…