Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

Nini kinamvutia kwa Serikali ya Rais Samia?
Kuhusu mwenendo wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, anasema kitu cha kwanza ni raha ya Watanzania ya kupokea mabadiliko ya uongozi wa nchi.
Kweli watanzania wana raha sana kwa ibilisi kuondoka
 
Hawa kima Membe sijui wanatuchukuliaje yaan....
Maslahi yao binafsi wanayageuza kuwa maslahi ya Taifa.
Wanatuona kama mazuzu vile
Kama ilivyokuwa ka yule mwovu aliyeondoka.
 
Wanasiasa wa upinzani wengine wanapambana na kesi ya ugaidi wengine bado wako nje ya nchi pamoja na kwamba ni miezi zaidi 7 tangu Magufuli afariki. Sasa sijui bado anahangaika nao akiwa kaburini

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Maccm Mkuu yanajua Katiba mpya ndiyo KIAMA chao yanaruka huku na kule kujibaraguza ili kulikimbia TAKWA la Watanzania kutaka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.

Tunataka katiba mpya. Hizo zingine ni porojo tu.
 
Nimevutiwa sana na hoja za mwanadiplomasia Membe.
Tulikuwa tunaswagwa kama ng'ombe.
Yaani wananchi wako wanapotea/kupotezwa, wanauwawa, wengine wanafyatuliwa risasi hadharani, lakini kiongozi wa nchi amekaa kimyaa.
Akisimama jukwaani ni barabara SGR, Nyerere Hydropower Dam, baasi.

Kuna memba mmoja hapa Jf aliwahi kunilalamikia kuwa namsema vibaya mwendazake, kwamba kila nikiandika naongelea hoja zile zile, haki za binadamu utawala wa sheria, demokrasia nk.
Majibu ndiyo hayo sasa.
Binadamu ni tofauti na ng'ombe wako uliowaacha zizini.
Ukiwa kiongozi, cha kwanza ni lazima uheshimu haki za hao unawaongoza.
Wananchi wako wanatekwa, kuteswa, kupotea, kufyatuliwa risasi hadharani kiongozi huonyeshi hata kuguswa!![emoji849][emoji849]
Watanzania tusikubali kurudia huu uzumbukuku
 
Maccm Mkuu yanajua Katiba mpya ndiyo KIAMA chao yanaruka huku na kule kujibaraguza ili kulikimbia TAKWA la Watanzania kutaka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Hakuna namna Katiba mpya haina mbadala. Wajitafakari tu.
 
Reactions: BAK
Huwezi kuzungumzia maendeleo ktk nchi isiyozingatia misingi ya utawala bora, uwajibikaji na Haki za watu.

Magufuli alikuwa anajidanganya yeye na genge lake.
 
Reactions: BAK
Dr Shija hata kwao Nyampande hajafanya lolote. Usitegemee afanye makubwa kwa nchi
 
Kama haya ni kweli basi jamani kuna shida kubwa kuliko tulivyohisi
 
Kwanini hakwenda kwa Magufuli badala yake anatumia kinana? Hapo ujue alikuwa hapatani na hakufanya jitihada zozote ili apatane naye

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Kivuli chake kitaendelea kuisumbua nchi kwa muda mrefu sana, wala usishange.
Wanasiasa wa upinzani wengine wanapambana na kesi ya ugaidi wengine bado wako nje ya nchi pamoja na kwamba ni miezi zaidi 7 tangu Magufuli afariki. Sasa sijui bado anahangaika nao akiwa kaburini

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…