Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

jpm alikuwa Rais wa mfano kwa africa na Dunia mzima.Membe huwezi mchafua bado anaishi kwe mioyo ya Watz.RIP baba yetu.
 
Mtu kihiyo pekee atamuamini huyo zoba Membe. Tangu lini hawa wapuuzi wakawa na uchungu na watu wa nchi hii zaidi ya kutanguliza maslahi yao. Mi naona kaongea utumbo wa kuku.

@Rutagwerera,
Mkuu hata utumbo wa kuku ni chakula kwa baadhi ya watu.
Akae atulie Kwa sababu ni kiazi, kilaza na hajielewi.
kwa nafasi alizowahi kuwa nazo hapaswi kuwa mtu wa kulialia na kulalama kama sie machinga huku mitaani.

Tena, kumsema marehemu(Mhe. Hayati Magufuli) anaonesha alivyoishiwa hekima na busara za kitanzania.
 
Reactions: Ame
Kwani watafika wapi? Hana miaka zaidi ya 30 hapa duniani hata akiwa mzima akili itakuwa imeisha isha uwezo....Atakumbana na hukumu yake ashukuru Mungu iwapo itakuwa ahera...
 
nilicho note hapa ni "mimi nimetoka katika intelligence na nina Network". mtu kama huyu kumuangusha ni vigumu
 
Kenyata sio kwamba alimuogopa jiwe lakini unapokuwa Rais wa nchi nyingine hupaswi kuingilia mambo ya nchi jirani pia hawa viongozi huwa wana urafiki fulani so inabidi waangalie nani anaelewana na nani
nakupa mfano, Idd amin aliwahi kuwateka waandishi habari fulani wa ulaya,rais wa hiyo nchi aliangalia nani ni rafiki wa Idd amin ndipo ikaoneka ni Mobutu hivo Mobutu akaombwa ambembeleze Idd Amin
hii ni mfano wa mambo yanavoenda hata sasa,wewe ukiwa Rais wa nchi nyingine na huna uhusiano wa karibu na Rais fulani unamtumia kiongozi aliyekuwa karibu naye
 
Huku Membe,kule Assad na Vicky
JPM naona ilikua kazi kupiga watu na vitu vizito kichwani😅

Poleni sana jmn
 
Ilikuwa iwe sifa kwa Tanzania kutoa katibu mkuu wa jumuia ya madola kwa maana ya Bernard Membe. Enzi zile Tanzania tulipewa heshima kubwa sana kimataifa kwa ajili ya kina Dr Salim Ahmed Salim, Kachero Dr Mahiga, kina Mwakawago, Getrude Mongella, Dr Asha Rose Migiro, Amb.Nyakhi Anthony nk. Kipindi cha JPM Ilikuwa sifa kupata watanzania wenzetu hawa kina Membe huko commonwealth , Likwelike na Dr Mulamula huko African union nk lakini kwa weusi wa roho ya JPM aliona ni afadhali hizo nafasi zidumbukie kina kirefu gizani au chooni kuliko mtanzania mwenzake na nchi yake ipate! Kiongozi wa ajabu mnooo! No wonder dakika ya 89 utabiri wa Membe na Lema ukatimia. Membe sio wa kubezwa. .
 
Hee Sukuma Gang bado mnapumua kumbe🤣🤣🤣
 
JPM alikuwa mzalendo lakini alikuwa binadamu mwenye udhaifu mwingi wenye kuhitaji mijadala mirefu. Ameshaondoka juu ya uso wa dunia, hawezi kujitetea hivyo sio suala jema kumuongelea kwa mabaya.
 
Mimi sijamuelewa aliposema kuwa ilikuwa akabidhiwe paundi bilioni saba baada ya kuwa Katibu Mkuu wa Commonwealth. Hizo pesa alikuwa apewe ili awape watanzania au azitumie kwa faida ya wanajumuia wote? Kama alishaanza kupigia hesabu hizo pesa ili ziwafaidie watanzania wenzake tu basi angepwaya kwenye ile nafasi.

Amandla...
 

..membe alikuwa anazungumzia nafasi ya katibu mkuu wa jumuiya ya madola.

..taasisi kubwa kama hiyo kuongozwa na Mtz kuna faida zake kwa nchi yetu na watu wake.

..mwalimu nyerere alimpigania salim ahmed salim awe katibu mkuu wa Umoja wa mataifa.

..kulikoni rais magufuli akatae kumuunga mkono Mtz mwenzake kwa nafasi ya katibu mkuu wa jumuiya ya madola.

..hata kama alikuwa hamtaki membe kwanini hawakupendekeza Mtz mwingine ambaye waliona anafaa?
 

..siyo fedha kwa ajili ya kudumbukiza kwenye mifuko yake au ya Watz.

..hiyo ni bajeti ya commonwealth secretariat ambayo inaongozwa na katibu mkuu wa jumuiya.

..sehemu ya fedha hizo ni kwa ajili ya MIRADI mbalimbali ktk nchi wanachama wa jumuiya.
 
Thank you
True story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…