Ok, naona Membe ameamua kufunguka ila ajue wengine aliowasema bado wako hai, hapa naona vita ya maneno itaenda kuanza very soon huko CCM, na zaidi zile kelele za "hawa wa kanda hii" na "wale wa kanda ile" zitazidi kushika kasi na hili litakuwa kikwazo kwenye serikali ya Samia hasa baada ya Rais kusikika akisema hamtumbui mtu kutokana na kabila lake.
Waliomchagua waliangalia maslahi mapana ya nani?Mjoba, hapa tunazungumzia maslahi mapana ya nchi. Ili upate nafasi Kama hio kunamambo mengi yanakua considered na hao waasis wa umoja huo,
Kwa ninavo mfaham marehemu, ni dhahiri Membe alifanya lobbying at the Expense ya maslahi ya taifa na ndo maana akaamua amppige chini.
Alishajua ana percentage yake kwenye hizo fedha, hii huruma yenu wajanja wanaitumia vizuri kuwapiga, na tutapigwa sana.Ila haikua freshi watanzania wengi walikosa fursa kwa kuzuia Membe, huyu jama wako alikua kama shatani
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana machadema huwa yanadanganywa sana!Eti Membe shushushu mbobezi kwa mujibu wa JF na Tanzania.
Ngoja niwaambie afisa usalama wa juu nchi za wenzetu, they are based on ‘Plato Republic’ Philosophy.
Anyamaze tuu maana hakuna anachoweza zaidi ya kuendelea kujifedhehesha
JPM alikua Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wakati yeye Membe kashindwa hata kuwawakilisha act waliomteua kugombea urais
Huyo JPM anayedai alimharibia hayupo na sidhani hata leo watanzania wanaweza mpa dhamana ya kushika dola kwa jinsi alivyo
Haya alitakiwa ayaseme Magufuli akiwa hai,kwani hakuna sehemu kavunja Sheria.
Kinachonishangaza unafiki na kujipendekeza ,hakika anajidharaulisha, matendo yao yanajulikana wazi ,ni majizi ,matapeli, mafisadi,ambao mwendazake aliwatia adabuw haswa
Ndio mi ni Myahudi wa kabila la YUDA ukoo wa Yese.hata wewe sura yako unaonekana si mtanzania
Huko kuna ulaji kuliko mshahara wa rais wetu.....kwahiyo lazima mtu akuchukie...aloo usipo jua chanzo cha watu kugombana huwezi kuamua nani mwenyemakosa...ila naamini hiyo nafasi ilikuwa muhimu kwa taifa pia hata kama angelikuwa membe ndiyo angetuwakilisha....yawezekana mzee marehemu hakushauriwa vizuri na watu wa karibuHahahahahah jamaa alimpiga pini membe ikamuuma kichizi kama konzi la kende!
Member ni mweupe Sana huwezi kumlinganisha na genious JPM
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hili ni kundi na wewe ni kundi jingine huu nimchuano wa kundi jipya la mwendazake na la zamani. Tusubiri tuone sisi yetu macho.Ok, naona Membe ameamua kufunguka ila ajue wengine aliowasema bado wako hai, hapa naona vita ya maneno itaenda kuanza very soon huko CCM, na zaidi zile kelele za "hawa wa kanda hii" na "wale wa kanda ile" zitazidi kushika kasi na hili litakuwa kikwazo kwenye serikali ya Samia hasa baada ya Rais kusikika akisema hamtumbui mtu kutokana na kabila lake.
Usitegemee mtu aliyewakimbia wapiga kura na chama kilichompa dhamana kugombea urais kuwa uthubutu wowote wa kuongea ukweli.
Mwache afurahishe wanakijiwe wenzie kwa kuwapa story za uongo na utapeli wake. Ila wanakijiwe na nyie jiongezeni.... membe si ntu[emoji23][emoji23]
Membe kilichomkost ni kujifanya jeuri! Magufuli ukijipendekeza anakuzingatia angempa shavu tu tatizo jeuriHuko kuna ulaji kuliko mshahara wa rais wetu.....kwahiyo lazima mtu akuchukie...aloo usipo jua chanzo cha watu kugombana huwezi kuamua nani mwenyemakosa...ila naamini hiyo nafasi ilikuwa muhimu kwa taifa pia hata kama angelikuwa membe ndiyo angetuwakilisha....yawezekana mzee marehemu hakushauriwa vizuri na watu wa karibu
Kwa mfano...kijazi alikuwa mwenyekiti wa mabalozi wote walioko nje...na alikuwa india magufuli alimleta akiamini anajua vitu vingi vya nje atamsaidia kumshauri.....kama angejua umuhimu wa hiyo nafasi kwenye jumuiya ya madola lazima angemuacha membe tu.....sema membe angemwambia mshkaji mapema kwamba kuna hicho kiti kinakuja....ajipendekeze tu..magu akiona unamtii anakufurahia
Membe ni mwizi tu!Huko kuna ulaji kuliko mshahara wa rais wetu.....kwahiyo lazima mtu akuchukie...aloo usipo jua chanzo cha watu kugombana huwezi kuamua nani mwenyemakosa...ila naamini hiyo nafasi ilikuwa muhimu kwa taifa pia hata kama angelikuwa membe ndiyo angetuwakilisha....yawezekana mzee marehemu hakushauriwa vizuri na watu wa karibu
Kwa mfano...kijazi alikuwa mwenyekiti wa mabalozi wote walioko nje...na alikuwa india magufuli alimleta akiamini anajua vitu vingi vya nje atamsaidia kumshauri.....kama angejua umuhimu wa hiyo nafasi kwenye jumuiya ya madola lazima angemuacha membe tu.....sema membe angemwambia mshkaji mapema kwamba kuna hicho kiti kinakuja....ajipendekeze tu..magu akiona unamtii anakufurahia
Membe ni mnafiki!..
Nmeona amezungumzia pia watu kuuawa! Kanakwamba enzi zao yeye na JK hawakuuwa watu!
Namkumbusha tu kwamba tu kwamba wao walitumia hadi mabomu lililouwa watu kadhaa kwenye mkutano wa chadema pale Arusha, Daud Mwangosi alisambaratishwa na bomu ke iringa ule ulikuwa utawala wake yeye na swahiba wake jk,
Yule dr Ulimboka haikuwa kazi ya JPM bali ya swahiba wake jk na hakuwahi kupanua mdomo kuongea.
Waliomchagua waliangalia maslahi mapana ya nani?
Sasa anapotokea mtu kama Membe alafu anajisafisha kwa watu na nyie mnamshangilia huwa nashangaa sanaAsante mkuu kumbe na wewe unajua kuwa ccm ni wauwaji
Hii haya imebeba ujumbe mzito sana. Mungu atusaidie na kutulinda. Amen.Lakini kwakuwa hizo nafasi ni based on meritocracy zinataka uwezo kushinda blah blah, kwa kumsikiliza Membe hana ata uwezo wa kufanya simple national security analysis.