Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

Ok, naona Membe ameamua kufunguka ila ajue wengine aliowasema bado wako hai, hapa naona vita ya maneno itaenda kuanza very soon huko CCM, na zaidi zile kelele za "hawa wa kanda hii" na "wale wa kanda ile" zitazidi kushika kasi na hili litakuwa kikwazo kwenye serikali ya Samia hasa baada ya Rais kusikika akisema hamtumbui mtu kutokana na kabila lake.

CCM wameamua kulana nyama wao kwa wao hii safi sana
 
Mjoba, hapa tunazungumzia maslahi mapana ya nchi. Ili upate nafasi Kama hio kunamambo mengi yanakua considered na hao waasis wa umoja huo,

Kwa ninavo mfaham marehemu, ni dhahiri Membe alifanya lobbying at the Expense ya maslahi ya taifa na ndo maana akaamua amppige chini.
Waliomchagua waliangalia maslahi mapana ya nani?
 
Eti Membe shushushu mbobezi kwa mujibu wa JF na Tanzania.

Ngoja niwaambie afisa usalama wa juu nchi za wenzetu, they are based on ‘Plato Republic’ Philosophy.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana machadema huwa yanadanganywa sana!

2015 yalisema Lowasa lazima ashinde maana anajua michezo yote na ana watu wengi kwenye system.

2020 nae Membe tukaambiwa na ACT kwamba huyu ni kachero kule kwenye system ndio nyumbani kwake! Matokeo yake alizidiwa hadi na mzee wa ubwabwa.
 
Anyamaze tuu maana hakuna anachoweza zaidi ya kuendelea kujifedhehesha

JPM alikua Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wakati yeye Membe kashindwa hata kuwawakilisha act waliomteua kugombea urais

Huyo JPM anayedai alimharibia hayupo na sidhani hata leo watanzania wanaweza mpa dhamana ya kushika dola kwa jinsi alivyo

Tunaposema magu alikuwa raisi wa hovyo muwe mnaelewa
 
Mnavyozidi tu Kumsakama Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli kila Siku baada ya Kifo chake kwa Kumzungumzia vibaya wakati alipokuwa Hai mlishindwa kufanya hivyo Wenye Akili na Wacha Mungu wa Ukweli tunagundua kuwa alikuwa ni Rais Mzuri, Makini, Mchapakazi na Kiboko cha Wanafiki, Mafisadi, Wezi na Makatili kama wanaojitokeza sasa na watakaoendelea Kujitokeza huko mbeleni.

Cc: BAK
 
Haya alitakiwa ayaseme Magufuli akiwa hai,kwani hakuna sehemu kavunja Sheria.
Kinachonishangaza unafiki na kujipendekeza ,hakika anajidharaulisha, matendo yao yanajulikana wazi ,ni majizi ,matapeli, mafisadi,ambao mwendazake aliwatia adabuw haswa

Aliwafungulia mashtaka [emoji848] kama hakuwafungulia basi na yeye alikuwa mwizi tu
 
Hahahahahah jamaa alimpiga pini membe ikamuuma kichizi kama konzi la kende!
Huko kuna ulaji kuliko mshahara wa rais wetu.....kwahiyo lazima mtu akuchukie...aloo usipo jua chanzo cha watu kugombana huwezi kuamua nani mwenyemakosa...ila naamini hiyo nafasi ilikuwa muhimu kwa taifa pia hata kama angelikuwa membe ndiyo angetuwakilisha....yawezekana mzee marehemu hakushauriwa vizuri na watu wa karibu

Kwa mfano...kijazi alikuwa mwenyekiti wa mabalozi wote walioko nje...na alikuwa india magufuli alimleta akiamini anajua vitu vingi vya nje atamsaidia kumshauri.....kama angejua umuhimu wa hiyo nafasi kwenye jumuiya ya madola lazima angemuacha membe tu.....sema membe angemwambia mshkaji mapema kwamba kuna hicho kiti kinakuja....ajipendekeze tu..magu akiona unamtii anakufurahia
 
Ok, naona Membe ameamua kufunguka ila ajue wengine aliowasema bado wako hai, hapa naona vita ya maneno itaenda kuanza very soon huko CCM, na zaidi zile kelele za "hawa wa kanda hii" na "wale wa kanda ile" zitazidi kushika kasi na hili litakuwa kikwazo kwenye serikali ya Samia hasa baada ya Rais kusikika akisema hamtumbui mtu kutokana na kabila lake.
Hili ni kundi na wewe ni kundi jingine huu nimchuano wa kundi jipya la mwendazake na la zamani. Tusubiri tuone sisi yetu macho.
 
Usitegemee mtu aliyewakimbia wapiga kura na chama kilichompa dhamana kugombea urais kuwa uthubutu wowote wa kuongea ukweli.
Mwache afurahishe wanakijiwe wenzie kwa kuwapa story za uongo na utapeli wake. Ila wanakijiwe na nyie jiongezeni.... membe si ntu[emoji23][emoji23]

Kwani membe chamagani?
 
Huko kuna ulaji kuliko mshahara wa rais wetu.....kwahiyo lazima mtu akuchukie...aloo usipo jua chanzo cha watu kugombana huwezi kuamua nani mwenyemakosa...ila naamini hiyo nafasi ilikuwa muhimu kwa taifa pia hata kama angelikuwa membe ndiyo angetuwakilisha....yawezekana mzee marehemu hakushauriwa vizuri na watu wa karibu

Kwa mfano...kijazi alikuwa mwenyekiti wa mabalozi wote walioko nje...na alikuwa india magufuli alimleta akiamini anajua vitu vingi vya nje atamsaidia kumshauri.....kama angejua umuhimu wa hiyo nafasi kwenye jumuiya ya madola lazima angemuacha membe tu.....sema membe angemwambia mshkaji mapema kwamba kuna hicho kiti kinakuja....ajipendekeze tu..magu akiona unamtii anakufurahia
Membe kilichomkost ni kujifanya jeuri! Magufuli ukijipendekeza anakuzingatia angempa shavu tu tatizo jeuri
 
Huko kuna ulaji kuliko mshahara wa rais wetu.....kwahiyo lazima mtu akuchukie...aloo usipo jua chanzo cha watu kugombana huwezi kuamua nani mwenyemakosa...ila naamini hiyo nafasi ilikuwa muhimu kwa taifa pia hata kama angelikuwa membe ndiyo angetuwakilisha....yawezekana mzee marehemu hakushauriwa vizuri na watu wa karibu

Kwa mfano...kijazi alikuwa mwenyekiti wa mabalozi wote walioko nje...na alikuwa india magufuli alimleta akiamini anajua vitu vingi vya nje atamsaidia kumshauri.....kama angejua umuhimu wa hiyo nafasi kwenye jumuiya ya madola lazima angemuacha membe tu.....sema membe angemwambia mshkaji mapema kwamba kuna hicho kiti kinakuja....ajipendekeze tu..magu akiona unamtii anakufurahia
Membe ni mwizi tu!

Alipokuwa waziri wa mambo ya nje alitufanyia kitu gani cha maana?
 
Membe ni mnafiki!..

Nmeona amezungumzia pia watu kuuawa! Kanakwamba enzi zao yeye na JK hawakuuwa watu!

Namkumbusha tu kwamba tu kwamba wao walitumia hadi mabomu lililouwa watu kadhaa kwenye mkutano wa chadema pale Arusha, Daud Mwangosi alisambaratishwa na bomu ke iringa ule ulikuwa utawala wake yeye na swahiba wake jk,
Yule dr Ulimboka haikuwa kazi ya JPM bali ya swahiba wake jk na hakuwahi kupanua mdomo kuongea.

Asante mkuu kumbe na wewe unajua kuwa CCM ni wauwaji
 
Lakini kwakuwa hizo nafasi ni based on meritocracy zinataka uwezo kushinda blah blah, kwa kumsikiliza Membe hana ata uwezo wa kufanya simple national security analysis.
Hii haya imebeba ujumbe mzito sana. Mungu atusaidie na kutulinda. Amen.
 
Back
Top Bottom