mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Vyama vya siasa vinavyo jitambua ambavyo vimeanzisha mchakato wa kudai Tume Huru ya uchaguzi vinaweza kucheza vizuri karata kama watamtumia Bernard Membe.
Namshauri Membe kutojiunga na chama chochote cha siasa ili kile anachokiamini kiweze kufanikiwa, apigane hii vita akiwa kama mwanaharakati huru. Akifanikiwa atakuwa amejijengea heshima kubwa wananchi wanaojitambua
Ninaamini kwamba Membe anaweza kuwa msaada katika hili kutokana na uzoefu wake Wa ushawishi wa kukaa wizara ya mambo ya nje kwa takribani miaka 10. Kwa hiyo atatumia uzoefu Huo kujenga ushawishi kwa mataifa ya nje kama China na maeneo mengineyo.
Akishafanikiwa hilo ndio sasa anaweza kufikiria hatua nyingine ya mbele.
Hii nchi bila Tume Huru ya Uchaguzi, chaguzi zinazofanyika zinakuwa hazina maana kwa nchi.
Tujadiliane hapa namna bora ya kupata tume huru na muundo wake uweje, kwa wanaojitambua tu wanaruhusiwa kuweka neno.
Namshauri Membe kutojiunga na chama chochote cha siasa ili kile anachokiamini kiweze kufanikiwa, apigane hii vita akiwa kama mwanaharakati huru. Akifanikiwa atakuwa amejijengea heshima kubwa wananchi wanaojitambua
Ninaamini kwamba Membe anaweza kuwa msaada katika hili kutokana na uzoefu wake Wa ushawishi wa kukaa wizara ya mambo ya nje kwa takribani miaka 10. Kwa hiyo atatumia uzoefu Huo kujenga ushawishi kwa mataifa ya nje kama China na maeneo mengineyo.
Akishafanikiwa hilo ndio sasa anaweza kufikiria hatua nyingine ya mbele.
Hii nchi bila Tume Huru ya Uchaguzi, chaguzi zinazofanyika zinakuwa hazina maana kwa nchi.
Tujadiliane hapa namna bora ya kupata tume huru na muundo wake uweje, kwa wanaojitambua tu wanaruhusiwa kuweka neno.