Uchaguzi 2020 Membe aponda fomu moja ya urais CCM

Punguza bange mkuu wangu. Nahisi hata wewe ukisoma ulichoandika utashangazwa nacho.
 
Heading inaonyesha jinsi unatumia Muda mwingi kuiwaza Chadema.
 
Sarakasi!
 
Kachero Mmbobezi Bernard Kamilius Membe[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hapa kwa form moja naomba kuelekezwa mwaka 2010 ilikuaje kwa kikwete? Form ilitoka moja tu ama?
Huyu huyu anaetueleza kuna fomu moja ndiye aliratibu uchukuaji fomu 2010 na ndiye alikuwa mstari wa mbele kushawishi wananchama wengine wasitangaze nia achilia mbali kuchukua fomu. Alikutana na Rostam kumshawishi amuombe Lowassa asichukue fomu
 
Huyu huyu anaetueleza kuna fomu moja ndiye aliratibu uchukuaji fomu 2010 na ndiye alikuwa mstari wa mbele kushawishi wananchama wengine wasitangaze nia achilia mbali kuchukua fomu. Alikutana na Rostam kumshawishi amuombe Lowassa asichukue fomu
Mkuu ni sawa, swali langu hapa nataka kuelewa huu ndo utaratibu? Je alipowashawishi wasichukue ilitoka form moja tu?
 
Haya mambo ya kujipima yana kulaza na viatu, una amka asubuhi unaombea ardhi ipasuke, stress, madeni na kila baya mitandaoni.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo akaona khaaaa kujitakia maradhi ya nini? "Na print form moja tu, ole wake mwingine ajitokeze".

Kama uchaguzi mkuu tukifanya hivi, kura za wazi mchana kweupe, tungeupata ukweli mchungu.

Mjumbe hauwawii, mjumbe hasemwi vibaya.
 
Oct 28 jiwe maji ataita mma hatoamini kitakacho mkuta..
 
Anajua fika hakubariki,kazi ni mmoja tu Oktoba 28 usifanye makosa.
Keep on encouraging yourself, after October I'm sure stories will be different from what you have written here,

Your stories will be in these forms :- ooh our votes were stolen, ooh our contestant was sabotaged and other un known songs.
 
Form moja tu halafu unasema unapendwa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
Angekutana nayo ya kigamboni...ashukuru waliomshauri kuja na wazo la form moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…