Membe arejeshewa kadi yake ya CCM


Hivi kadi ya ACT karejesha? Na ya CCM lini aliirudisha ? Na mbona anayorejeshewa ni mpya sana? Au kadi mupya? We call it publicity! Ofisi ya mwenezi haina usmart….si kuna kadi za ki electronic ziliishiwa wapi na mbwembwe zile. Hapo ndio palikua pakufanyia publicity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…