Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Mkuu, Pascal Mayalla hebu dadavua kidogo hapo. JPM aliwadharauje maaskofu, mkuu? Weka hata codes za Javascript tutazielewa tu. 🙂Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea