Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

Bado kudili nae mpka ujipange??? Mungu fundi aseee, oops WEMA HAWAFI, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aseee we ni noma kweli Mungu fundi alooo
 
Niguse ninuke
Membe piga hilo lisukuma gang lirudi kijijini kuzibua mashimo ya vyoo
Analipigia makaburini sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]#Wemahawafi nani kanuka??? MZOGAaaa[emoji1476]
 
Analipigia makaburini sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]#Wemahawafi nani kanuka??? MZOGAaaa[emoji1476]
Haihusu, hakumdai ili asife na akifa deni halifi. Aliyekuwa anatumwa na katili atalipa tu.
Tunashekherekea maisha ya Mzee Membe, moja ya viongoz wema, hakumkatili mtu, katimiza wajibu wake muda umefika kasepa..hiyo kawaida na fresh sana tu.
 
Kwa hizo Mali anazomiliki musiba kumbe hakuwa mtu wa kawaida kama wengi tulivyodhani.musiba ni TISS Tena wa ngazi za juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…