Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
Sio tuhuma zote, lakini tuhuma in mgojwa mahututi au ame rest in peace sio za kuacha zizagae kwa afya ya usalama wa nchi.mkuu uko serious ikulu ijibu kila tuhuma ama tetesi ...
Sema ilikuwa kwenye mitandao ya kijamii huko mitaani ilikuwa hata haijulikani mkuu.
Acha uchochezi,kama wana vielelezo vya wizi wake si waende kwa court. Au ninyi ndiyo mbilikimo anaowasema ndugu MembeMembe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya
Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika
Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali
Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
Wewe nadhani unapoteza kipaji chako. Ungeamua kufanya kazi na Khadija Kopa, ungeweza kuwa msanii bora wa East Afrika au hata wa Afrika nzima.Wewe membe,
Wenye akili tunaweza kuona mlinganisho wa maneno uliyoyatumia jinsi yanavyoshabihiana na yaliyotumika kwenye mitandao yenu na hiyo kigogo.
Kauli ni hizo hizo,halafu jazba ni hiyo hiyo,povu ni hilohilo,so pls usituyumbishe wananchi.
Wewe yumbayumba mwenyewe.
Halafu kumbe ulijichimbia huko mwezi mzima ok......tunaweza kuunganisha doti.
Kauli yako kwamba huwezi kutumia simu kwa sababu inadukuliwa,je kwa ujasusi wako mbobezi unataka kutuaminisha watanzania kwamba huwezi sajili simu au kutumia laptop ya mmojawapo wa hao au huyo uliemuajiri kukujenga mtandaoni.
Hivi kuna mahali uliandikiwa kwamba lazima uwe rais wa nchi hii.
Huwezi kujipima tu na kuona kwamba upepo uliishabadili mkondo?
Mbona mzee lowassa pamoja na kuwepo makubaliano na uncle wako lakini mlishindwa kumtimizia ahadi mpaka mbowe akalamba mshiko na kumuacha mzee hoi?
Au una uchungu wa yale mabegi ya hela yaliopotea kwa kubambwa pale dodoma?
Ila pia namalizia kwa kujiuliza hivi waraka huu ni wa kwako membe kweli?
Na kama ni wa kwako nauona umejaa hasira na visasi kupindukia,kiasi kwamba kama ungeupata urais basi nikikumbuka na lile onyo ulilowahi kulitoa la *maadui zako watafute pa kukimbilia basi napata picha ya kuogofya sana.
Najua matusi ya wafuasi wako lakini wacha nitukanwe ila nimesema ya moyoni na ni haki yangu kikatiba.
Ahsante na ninasimama na ...
JPM 2020 =2025 [emoji1241][emoji818]
Sikubaliani na Membe.
Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.
Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.
Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.
Hivyo ndivyo inavyotakiwa.
Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.
Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
na huyo anayetaka kumshugulikia akiwa na watu 4m wakianza kushugulikiana akina sisi tutakuwa wap?Mkuu treason haiwezi kuwepo kwa kumshughulikia wahuni kama hao. Treason ni kwa Rais wa nchi tu.
Ina maana Ana jeshi lake ? Jee Kama na mwingine naye akawa na jeshi lake naye la watu milioni tano. Na mwingine na mwingine. Itakuwaje.Musiba anasema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao watachukua hatua dhidi ya aliowataja kwenye orodha yake kama Waziri wa Mambo ya ndani hatatii maagizo yake ya kuwachukulia hatua.
Sijui makosa ya aliowaoredhesha lakini kusema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao wanaweza kuchukua hatua za kuwashughulikia watu anaowatuhumu kama serikali haitafanya hivyo, hiyo ni zaidi ya uanaharakati it is tantamount to treason. Watu milioni tatu si wachache kama wakitii amri ya mtu mmoja kinyume na mamlaka.
Anataka umaarufu. Ni jamaa mjinga sana. Anafikiri yeye ni mtu mwenye akili sana kuliko Watanzania wote.Membe haya anaytaka mwenyewe sio siri ,sijui anawashwa nini
Wote hawa wametumwa na Magu.Anaandika Bernard Membe.
Rondo- Lindi.
Watanzania Wenzangu! Nawasalimia! Kwa siku tatu mfululizo magazeti ya makuhani wa fitina na unafiki Musiba na Mchange na wenzao wamekuwa wakinishambulia kwa uchochezi wa sintofahamu iliyotokea kuanzia Alhamisi tarehe 17 Octoba siku ambayo Mhe Rais ameondoka Lindi kuelekea Dar hadi Jumapili ya tarehe 20. Mimi nipo Kijijini kwangu Rondo kwa mwezi mmoja sasa.
Ni nini hicho nilichokisema au kukiandika kwenye mitandao ya kijamii? Kwa kuwa mawasiliano yangu yote nayafanya kwa simu yangu ambayo inasikilizwa na kudukuliwa, naviomba vyombo vinavyohusika vitoe hadharani mazungumzo na maandishi yangu ili watu wasikie, wasome na wanihukumu. Napenda niuhakikishie umma kuwa Mimi sikuwa mjinga! Nilijua kuwa nikisema au kuandika vibaya, wabaya wangu wataninyooshea vidole.
Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.
Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais. Good governance requires quick response to rumours. Rumours left unattended damages governance! Narudia! Naviomba vyombo husika vitoe hadharani nilichokisema au kupost kwenye mitandao ili nihukumiwe na Wananchi wenyewe na sio na Wabwekaji wa Taifa.
Ben Membe.
Rondo- Lindi.View attachment 1241102View attachment 1241103
Musiba anatumwa na MekoIna maana Ana jeshi lake ? Jee Kama na mwingine naye akawa na jeshi lake naye la watu milioni tano. Na mwingine na mwingine. Itakuwaje.
Musiba ni Nani huko tz. Serekalini Ana cheo gani. Anaongea kama Nani ?
Jeee katiba inamtambua Kama Nani.
unaambiwa mange kimambi wa insta alishajibiwa kwa vitendo ,au humkumbuki muroto?Huyu mzee ana lake jambo. Alitaka serikali itolee ufafanuiz ujinga wa mtu mmoja tena wa kutunga? Rais kwani alipotea siku ngapi? Nawapongeza sana Ikulu kwa kumpuuza huyo mjinga. Kukanusha au kutoa ufafanuzi ingekuwa kama kuchezwa muziki na huyo mjinga. Membe ameandika haya kwa sababu anaona huyo Kigogo amedharaulika na hataaminika tena siku sijazo. Serikali ingejibu ujinga kama ule kesho angekuja na jingine. Walifanya vizuri sana kuendelea na shughuli zao bila kutetereka. Membe anataka kutuambia kuwa rais akiwa kwenye matatizo basi habari huwa inatolewa kwenye Internet tena na mtu anayetumia jina la bandia? Naona huenda na yeye alishatarisha suti zake lakini akapigwa na butwaa na aibu kubwa...
Musiba alisema kwa msisitizo kuwa ana wafuasi zaidi ya milioni 3. Ina maana ni kati ya 3'000,001 hadi 3,999,999. Hatariiii!Najua nchi hii kuna wendawazimu wengi lakini sidhani kama wanafika milioni 3.
Ndo kinacho takiwa hicho,siyo mikelele na mineno miiingi utadhani mwanamke wa kipwaniWamshtaki kama ushahidi upo
Kuhani wa fitina na mbwekaji wa taifa katika ubora wako.Anataka umaarufu. Ni jamaa mjinga sana. Anafikiri yeye ni mtu mwenye akili sana kuliko Watanzania wote.
Hii ni matatizo ya watu kutoka Bush..wakipata nafasi za kuona Ulaya na kuzungumza na wazungu anajiona wao ndiyo babu kubwa. Hawajui kuwa ni utindiga tu.
Membe ni limbuken sana. Ni kosa la Rais Kikwete kumpa madaraka. Yamemfanya awe na bichwa kubwa.
Unajua jamaa haheshim cheo cha URais wetu hata mara moja!
Rais Magufuli mwonyeshe huyo jamaa wewe ni nani. Kipige ribiti wa miaka mitano nyumbani hicho kikaragosi kama Mwalim Nyerere alivyo mzuia Mr Sanga, Mbunge.
Kwahiyo picha na jeshi ndio unatutisha?Anaandika Bernard Membe.
Rondo- Lindi.
Watanzania Wenzangu! Nawasalimia! Kwa siku tatu mfululizo magazeti ya makuhani wa fitina na unafiki Musiba na Mchange na wenzao wamekuwa wakinishambulia kwa uchochezi wa sintofahamu iliyotokea kuanzia Alhamisi tarehe 17 Octoba siku ambayo Mhe Rais ameondoka Lindi kuelekea Dar hadi Jumapili ya tarehe 20. Mimi nipo Kijijini kwangu Rondo kwa mwezi mmoja sasa.
Ni nini hicho nilichokisema au kukiandika kwenye mitandao ya kijamii? Kwa kuwa mawasiliano yangu yote nayafanya kwa simu yangu ambayo inasikilizwa na kudukuliwa, naviomba vyombo vinavyohusika vitoe hadharani mazungumzo na maandishi yangu ili watu wasikie, wasome na wanihukumu. Napenda niuhakikishie umma kuwa Mimi sikuwa mjinga! Nilijua kuwa nikisema au kuandika vibaya, wabaya wangu wataninyooshea vidole.
Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.
Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais. Good governance requires quick response to rumours. Rumours left unattended damages governance! Narudia! Naviomba vyombo husika vitoe hadharani nilichokisema au kupost kwenye mitandao ili nihukumiwe na Wananchi wenyewe na sio na Wabwekaji wa Taifa.
Ben Membe.
Rondo- Lindi.View attachment 1241102View attachment 1241103
Akisha kubali cheo kile mahali alipo sio siri tena! Sasa mnamficha kwa nini?
Ngojeni walete uzushi tena kuwa yuko GAMBOSHI anatibiwa ndio mtakapo imba "hauwezi kushinda....." hadi sauti ikauke.
Sio tuhuma zote, lakini tuhuma in mgojwa mahututi au ame rest in peace sio za kuacha zizagae kwa afya ya usalama wa nchi.
Na sio lazima kujibu kwa kutoa nyimbo za mipasho bali inaingizwa ratiba ndogo ya shughuli za rais. Hilo ni jibu tosha la uvumi
BibiMusiba anaona Khangi hastahili kile cheo yeye ndiyo anaestahili, anamchimba sana mzee wa watu.
Hiki kipimo umekitoa wapi na kayasema wapi haya,Eti Musiba ndio Good looking mwenye sura ya kuvutia handsome kulikowwanaume wote mkoa wote wa mara.
Kesi ya cyprian Musiba amepata ufadhili wa Daud Bashite kumsaidia kuajiri mawakili na mbinu nyingine za kumdhoofisha membe mtaaniAsante kwa taarifa. Ngoja tuone itaishia wapi. Na ile kesi yake dhidi ya Musiba iliishia wapi?