Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Lugha inayotumiwa na aliyekuwa mseminari, na kisha kuwa kachero mwandamizi....#wabwekaji
 
Wachaga mna shida sana! Hivi hii nchi ni yenu pekeenu?

Alafu kwa nini wanaolalamika ubaguzi wa Rais ni wachaga tu,? Yani katika makabila zaidi ya 200 wachaga tu ndio wanalalamika mna nini nyie?
Acheni upumbavu bwana

najua wewe ni product ya "shule za kata a.k.a Zero brain" na ulimaliza kipindi cha "voda fasta" na una uelewa mdogo sana.

1. makabila yapo 136

2. Kaskazini ni :-
[a] TANGA
ARUSHA
[C] KILIMANJARO
[D] MANYARA
Wewe kwa uzombi wako, hiyo mikoa yote inatoa wachagga?
Umewahi kuskia wachagga wajinga kama wewe, kwani wamewahi kuwa na WAZIRI MKUU AMA RAISI TOKA KWAO MPAKA WALALAMIKE?

1. SOKOINE- MASAI

2. SUMAYE- MBULU- IRAQ

3. LOWASSA- MMERU WA AKHERI[KALOWEA UMASAINI MONDULI]


4. MSUYA D.CLEOPA --MPARE

Sasa wewe zombi , hapo kuna mchaga yupi?

MARAIS

1. NYERERE-ZANAKI

2. MWINYI-TUNGUU

3. MKAPA- MAKONDE

4. KIKWETE- KWERE

5. MAGUFULI-- TUTSI


Hapo kuna mchagga?
 
Anaandika Bernard Membe.
Rondo- Lindi.

Watanzania Wenzangu! Nawasalimia! Kwa siku tatu mfululizo magazeti ya makuhani wa fitina na unafiki Musiba na Mchange na wenzao wamekuwa wakinishambulia kwa uchochezi wa sintofahamu iliyotokea kuanzia Alhamisi tarehe 17 Octoba siku ambayo Mhe Rais ameondoka Lindi kuelekea Dar hadi Jumapili ya tarehe 20. Mimi nipo Kijijini kwangu Rondo kwa mwezi mmoja sasa.

Ni nini hicho nilichokisema au kukiandika kwenye mitandao ya kijamii? Kwa kuwa mawasiliano yangu yote nayafanya kwa simu yangu ambayo inasikilizwa na kudukuliwa, naviomba vyombo vinavyohusika vitoe hadharani mazungumzo na maandishi yangu ili watu wasikie, wasome na wanihukumu. Napenda niuhakikishie umma kuwa Mimi sikuwa mjinga! Nilijua kuwa nikisema au kuandika vibaya, wabaya wangu wataninyooshea vidole.

Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.

Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais. Good governance requires quick response to rumours. Rumours left unattended damages governance! Narudia! Naviomba vyombo husika vitoe hadharani nilichokisema au kupost kwenye mitandao ili nihukumiwe na Wananchi wenyewe na sio na Wabwekaji wa Taifa.

Ben Membe.
Rondo- Lindi.View attachment 1241102View attachment 1241103
Kwa hiyo jamaa anakaa kijijini rondo ? ni mkulima kwa sasa au? Anasubiri zamu pale Nyerere alipaita patakatifu akapige
 
Membe ni kilaza kama kilaza mwingine.sana sana atakuwa rais wa familia yako tu...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna wakati hata kama hutaki kuamini utajikuta unaamini tuu kuwa ccm ni kusanyiko lililo jaa IQ below average
 
Magazeti ya cyprian Musiba hayana wanunuzi hakuna Mtanzania mwenye busara na hekima ataenda kukununia gazeti hizo za kufungia mandazi
Hata ukifungia maandazi ukienda kula unaweza kupata kansa ya ubongo
 
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
Una ushahidi au unabwabwaja
 
Huyu Musiba anavyo watukana hawa watu siyo bure kuna nguvu inayo mlinda
 
Back
Top Bottom