johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Hahahaaaa.......!Hao wajumbe si wangempigania abaki? Au si wangeenda nae huko ACT?
Hizi kelele ndio zilimfanya zitto akurupuke, ila mwishoni wakaja kushtuka kuwa ni kelele za nyie wajinga wachache huku mitandaoni