Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mwanadiplomasia Bernard Membe ameshauri serikali kukuza kiswahili ili kiweze kuwa lugha inayotumika Afrika, kwa kuwa ushahidi upo kuwa lugha ya kiswahili inaweza kutumika bara zima.
Amesema UNESCO wanahela wanaweza kusaidia kukuza lugha hiyo kwa kuanzisha chuo kikuu cha kiswahili ili watu waweze kujifunza.
Amesema jambo hili serikali haiwezi kufanya yenyewe, bali tuwashirikishe UNESCO ambao ndio wana hela na ni wadau wa jambo.
Amesema hayo katika siku ya mchango wa lugha ya kiswahili katika ukombozi wa bara la afrika
Amesema UNESCO wanahela wanaweza kusaidia kukuza lugha hiyo kwa kuanzisha chuo kikuu cha kiswahili ili watu waweze kujifunza.
Amesema jambo hili serikali haiwezi kufanya yenyewe, bali tuwashirikishe UNESCO ambao ndio wana hela na ni wadau wa jambo.
Amesema hayo katika siku ya mchango wa lugha ya kiswahili katika ukombozi wa bara la afrika