Uchaguzi 2020 Membe unagombea Ubunge au Urais wa Jamhuri?

Mlikuwa mnamsapoti juzi kati hapa[emoji3][emoji3], hapana chezea mashabiki wa mitandaoni
 
ZZK anataka kura na ikiwezekana halmashauri ili apate ruzuku. Kapiga hesabu kwa Bara kaamua kuwekeza Kigoma mjini na Lindi/Mtwara akitegemea ukanda/ukabila na Uislamu kuibeba ACT.
 
ZZK anataka kura na ikiwezekana halmashauri ili apate ruzuku. Kapiga hesabu kwa Bara kaamua kuwekeza Kigoma mjini na Lindi/Mtwara akitegemea ukanda/ukabila na Uislamu kuibeba ACT.
Tatizo la ZZK ni kujiaminisha kwamba yeye ana akili na uwezo kuliko wote.

Hajui kwamba Watanzania wanajua ni msaliti
 
Tume walichota kura milioni 3 za Lowassa wakamuwekea magufuli..... Ndio maana laana inazidi kuwaandama na wanakataliwa kila mahal
Nimeuliza, kwa willingly.

Sio kufanyia bila ridhaa yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…