Anataka kusawazisha bao wakati mpira umeshakwisha!
Utakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa hakuna Mtanzania 'Mwendawazimu' ambaye atapoteza muda wake ili Kumpigia Yeye 'Kura' awe Rais wetu.
GENTAMYCINE Unaitwa hapa kwa ufafanuzi kidogo!.Gentamycine.
Umeandika points nzuri sana huko juu, lakini hili hitimisho lako lipo hovyo, yaani halieleweki.
"----hakuna mtanzania "mwendawazimu" ambaye atapoteza muda wake----"
Kwa hilo hitimisho lako; Maana yake ni kwamba watz wasio wendawazimu ndio watapoteza muda nk, kwenda kumpigia kura Membe.