Unataka kuwa Rais ili tu ujenge Barabra ya Lindi? Mtu akitaka kuleta mabadiliko kwao lazima awe rais?
Wakati ukiwa kwenye serikali ya brother, mlifanya nini cha maendeleo zaidi ya kuharibu Uchumi na kuuza maliasili zetu kwa kikombe cha kahawa?
Wakati ukiwa kwenye serikali ya brother, mlifanya nini cha maendeleo zaidi ya kuharibu Uchumi na kuuza maliasili zetu kwa kikombe cha kahawa?