Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Naanza na wewe @smart991utakuwa ni 32hivi uwongo!Ngoja nisome comments
Mkuu mi naifukuzia 57 huku
Haya bana naona umeongeza miaka 40 mbele, yaani 17 + 40= 57Mkuu mi naifukuzia 57 huku
Miaka 28/bila pointNaomba kukadiriwa😀😀
Bila kumsahau YEHODAYA mkuu, hawa members wanaweza kuwa na miaka 98 mpaka 102Magonjwa Mtambuka anaweza akachezea kwenye miaka 94 mpaka 97.
Dooh utabiri huu hatariMiaka 28/bila point
Nmepatia nnDooh utabiri huu hatari
Mbona yupo sana tuhuyu mtu mm namtafuta aliyeiona post yake ya mwisho anihabarishe nahitaji utabiri wake mm nafikisha 75yrs
Mbona yupo sana tu