Hahaaaa. Mie nakusalimia rafiki. Niaje?Heeh! jaman hadi emmyta yupo kwenye hii list
Hahaaa. Bidhaa inayohitajika wapi tena rafiki?Hahah rafiki umekua bidhaa inayohitajika sana mana naona wadau wanaonesha nia za dhati kabisa...[emoji1] [emoji1]
Mimi siko poa rafiki
Hahahaaaa. Duuh.Sinimeona huko watu wanakula karanga na vipande vya nazi
Afya imecheza kidogo mafua yanasumbua sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye nimetajwa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]... Babe fungua PM yako basi [emoji15] [emoji15] [emoji15]
usinibanie halafu nilikuwa nakukubaligi tangu zamani tu nikawa naogopa kukuambia..ila ulivyonitaja i was like.. "oooh am blessed".. Please fungua basi PM yako tuyajenge... usinibanie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa we kivuruge ulifichwa wapi mwezi mzima?Niko hapa.
nipo sana mbona!!Sasa we kivuruge ulifichwa wapi mwezi mzima?
Chit chat