member kuwa na id nyingi

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
naomba tusiwe na id nyingi kwa sababu tunaharibu hali halisis hapa ndani,
mods juz tumeongea kuhusu microsoft kununua baadhi ya web;socializing sehemu mbalimbali
member wenu wakiwa na id nyingi inakuwa kama tupo wengi kumbe sio,
kila nikisoma post mbalimbali naona kuna aina fulani ya watu walewale,
naomba tupige hatua moja ya kujijua!!
tahadhari chukua hatua!
 
aiseee.. mi nimependa signature yako bana, imetulia mno

hilo la ids nyingi ni ngumu mno kulizuia ila hata mimi linanikwaza
 
aiseee.. mi nimependa signature yako bana, imetulia mno

hilo la ids nyingi ni ngumu mno kulizuia ila hata mimi linanikwaza

ssamora kuwa mkweli,una id ngapi?
 
mpaka mods waache kunipiga maban kwa kuiangalia avatar yangu wkt kuna watu huwa wanafanya mambo ya ajabu lkn hawapigwi ban, hapa nina siku 3 tu kutoka jela
 
ID moja itawezekana tu kama Mods wataacha uonevu, na pia kama watakuwa wanazipeleka kwenye trash thread zote za kipumbavu na comment zote za kijinga na kulifuta kabisa jukwaa la dini na kuzidelete immidiately thread zote za kichochezi za kidini n:k.
 
2 za nini wakati hata hii moja inanishinda.
Hao wenye zaidi ya 1 wameajiriwa kwa kazi ya kujaza post hapa jf?
 
ID moja itawezekana tu kama Mods wataacha uonevu, na pia kama watakuwa wanazipeleka kwenye trash thread zote za kipumbavu na comment zote za kijinga na kulifuta kabisa jukwaa la dini na kuzidelete immidiately thread zote za kichochezi za kidini n:k.
sijawahi pitia jukwaa la dini,nahisi mambo ya ID nyingi yanaanzia huko,hebu nikaone kilichomo
 
uwezi kuingia mpaka uPM Invisiible ndio akupe access.
Basi... Bora imekua ngumu kuaccess,maana dini yenyewe siijui vizuri ntaenda kujichanganya tu.Sijajua la mtu wa kwanza Adam au nyani nikiingia huko si ntajikoroga zaidi!Hebu nirudi nilikokuzoea,free kwa ID 1 tu.
 
Basi... Bora imekua ngumu kuaccess,maana dini yenyewe siijui vizuri ntaenda kujichanganya tu.Sijajua la mtu wa kwanza Adam au nyani nikiingia huko si ntajikoroga zaidi!Hebu nirudi nilikokuzoea,free kwa ID 1 tu.
Kule hapakufahi panawafaa zaidi mafundamentalist wa kidini au wafia dini, lakini kama ni mtu moderate wala hakuna mpango wowote mimi nina access lakini laliskip hilo jukwaa.
 
mawazo yangu kwa mods,
kama member amekosea apewe warning!!!na hizi warning ziwe tatu ndio ifikie hatua ya kumpiga ban!
 
Wenye ID moja ni janga la JF! Hawana uwezo wa kuwa majasili! Free will inafanya Maisha yawe kwenye mwanga bora! I love multiples
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…