rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,420
naomba tusiwe na id nyingi kwa sababu tunaharibu hali halisis hapa ndani,
mods juz tumeongea kuhusu microsoft kununua baadhi ya web;socializing sehemu mbalimbali
member wenu wakiwa na id nyingi inakuwa kama tupo wengi kumbe sio,
kila nikisoma post mbalimbali naona kuna aina fulani ya watu walewale,
naomba tupige hatua moja ya kujijua!!
tahadhari chukua hatua!
mods juz tumeongea kuhusu microsoft kununua baadhi ya web;socializing sehemu mbalimbali
member wenu wakiwa na id nyingi inakuwa kama tupo wengi kumbe sio,
kila nikisoma post mbalimbali naona kuna aina fulani ya watu walewale,
naomba tupige hatua moja ya kujijua!!
tahadhari chukua hatua!