Member maarufu anayejidai mnyarwanda na mwenye stories za ujasusi kumbe ni mbilikimo .

Bado hakujakucha tu uku... maan nasoma comment nione mwamba kaja asemee hili bado tuu🙌
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 JF ni burudani tosha.
 
Huyu jamaa unayemsemea nimeanza kumhisi tangu lile sakata la JK na PK.

Alitetea sana upumbavu, akaja akapotea fulani hivi, kuja kuibuka nashangaa amekuwa star JF.

Jamaa ni mnyarwanda kweli, ana sifa za kipumbavu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sasa ni discrimination shindaneni kwa hoja loh
 
Afadhali, nilidhani mbilikimo ni mimi tu JF Member
 
Uko na kavideo au kapicha?[emoji16]
 
Bibles Inataja Zakayo Alikuwa Ni Mfupi Wa Kimo
Utaelewa Kimo Cha Vp Ikaendelea Mbele Zaidi
Akapanda Kwenye Mkuyu Ili Kumuona Bwana Yesu


Wakuelewa Waelewe/Wasioelewa Basi!!😁😂😀😀
 


bila shaka[emoji3][emoji3]
 
Yuko "chigali" mara moja subirini arudi
 
Inaonekana unamfuatilia sana hadi kujua maumbile yake! Hayo ni ya Mungu wewe sikiliza asemayo huyo member na utoe ya kwako on his/her topics AU SIYO!? Hilo ndio muhimu, habari ya KIMO chake - achana nacho, acha kudiscuss watu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…